Uelewe mfumo wa 3-4-3 anaotumia Antonio Conte

Weka akiba ya maneno, hakuna jambo jipya chini ya jua. Huo mfumo au kushinda mechi 10 mfululizo ndio kitu kipya kwako?

Nadhani tupo Dunia tofauti kwenye haya mambo ya soka, hakuna aliyesema huo ni mfumo mpya. conte keshawahi utumia Juve na pia timu ya taifa

Point ni kuwa

Chelsea alianza league vibaya, Conte alianza na mfumo wa beki wanne, Inanovic, Luis, Terry/Cahill na kushoto Azip na pamoja na beki hizo timu ilipoteza mechi za muhimu ya Liver na Gunners, lakini mafanikio ya sasa Chelsea yanatokana na huo mfumo wa 3:4:3, kama wewe hulioni hilo ndio nasema tupo dunia tofauti
 
Aya maneno yako yatunze tu naamini yatakurudia.next year.
00760cd32e8e779a740b5e6c2da1b69c.jpg
Ukitaka kuidhibiti Chelsea uwe na lengo Mmoja tu.kwamba hutaki kufunga goli ili ubaki tu kutafuta suluhh ya kutofungana .ukijifanganya tu kupanda kutafuta goli ukikosea tu umekwisha .mfano man u, Tottenham, man city
 
Ukitaka kuidhibiti Chelsea uwe na lengo Mmoja tu.kwamba hutaki kufunga goli ili ubaki tu kutafuta suluhh ya kutofungana .ukijifanganya tu kupanda kutafuta goli ukikosea tu umekwisha .mfano man u, Tottenham, man city
Sisi tulipanda tukapiga ma3
 
For the info record ya winning consecutive games kwenye PL bado inashikiliwa na Asernal amapo waliwenda hadi game 14 msimu wa 2004 na akachukua ubingwa kwa style. Chelsea wapo on 11th game huku wakiwa wamevunja club record ya Jose yeye aliishia game 9. Let us see how far Conte will go ingawa ukiangalia game 3 zinazofuata kuna dalili chelsea ikafikia game 15 na kuweka record mpya ya PL.
 
Aya maneno yako yatunze tu naamini yatakurudia.next year.
00760cd32e8e779a740b5e6c2da1b69c.jpg
Aya maneno yako yatunze tu naamini yatakurudia.next year.
00760cd32e8e779a740b5e6c2da1b69c.jpg
Wenger anatamani saana kuyafikia matunda aliyoyapata 2004 baada ya kumaliza ligi bila kupigwa, enzi za kina sol camble, Perez, Henry , viera nk ilikuwa raha kwa wqpenzi wa arsenal wakati huo. Wenger anajaribu lakini mambo ni magumu sana hasa baada ya kupotieza game ya City ni kama focus inaanza kupotea. Nafikiri sasa kaanza kuamini kwamba Football is about money!!! Bila kuwekeza pesa nyingi makombe utayasikia kwa majirani tu. Sanchez ndo huyoooo... Kama pesa haitatimia anayoitaka.[/QUOTE]
 
Nafikiri mpaka hapa watanzania mmeelewa nini umuhimu wa bechi la ufundi - wenzetu si wajinga wanapokatisha mikataba wa kocha na kumlipa ma million ya pounds, inapobidi kufuza kocha mapema kabla mambo hayajaharibika.

Wachezaji wanajitaji mwalimu mzuri kuwafanya wacheze kwa mfumo, mwalimu mzuri huwa anatengeneza chemistry nzuri kwa timu yake!!

Mpaka leo hii wote mtakubaliana na mimi kwamba - Bechi la ufundi ndiyo key ya mafanikio ya timu yoyote ile duniani. Uwezo wa kocha utajulikana tu kwa game 5 mfululizo
Tafadhali sana mchezo mfumo huo huo mechi ya marudiano na Arsenal. Tungependa mno tuwagonge 3 zingine mkiwa na huo wazimu wenu.
kaka vipi? upo? nilikuwa napitia tu comments zako hapa!!
 
Binafs ndo mfumo nnaoutumia kwenye game, napiga mbaya kabisa!
Kasoro zake ni ;kucheza na timu inayo defence
Kucheza na timu inayopiga sana pasi mbele,
Ukutane na forwad zenye speed
Sina uhakika ni magoli mangapi Chelsea imefungwa kwa Counter attack, kama yapo hayafiki 2. Mengi ni makosa ya mabeki na mipira ya adhabu ndogo na kona. Kwa sasa hakuna timu inayopenda kukutana na Chelsea, maana kumaliza dakika 90 ni adhabu kwa timu pinzani. Yaliyowakuta City, Liver na Arsenal kwenye game za marudiano yana justify haya ninahoongea. Chelsea imekamilika kila idara kwa sasa.
 
Conte akiwa Juventus kawatesa sana Inter milan,Ac Milan,Napoli,Roma...nk kwa kutumia huo mfumo hata kombe la Euro akiwa na Timu Ya Taifa katumia sana huo mfumo na Ukampa mafanikio hasa ukiwa na Beki zenye nidhamu kama Bonnucci,Chielini lazima wapinzani wapate shida tu.

Ila all in all antidote yake itapatikana soon kwa pale uingereza kuna timu Korofi sana pale

Euro alitumia 3-5-2, huu mfumo kaanza kuutumia pale Chelsea maana pia hata Juventus alikua anautumia 3-5-2, hii 3-4-3 kuna kipindi Pep Guardiola alijaribu kuitumia pale Bayern Munich ila ilishindikana. Johan Cryuff aliitumia 3-4-3 kipindi yupo Barcelona, kipindi Pep Guardiola alikua dimba la kati.
 
Unahis kwa kikosi cha Chelsea hasa Mabeki wanaweza wakastahimili kwa muda gan huu mfumo?
Kaka Upo? nilikuwa napitia comments zenu wakati mnachangia thread hii - nafikiri sasa umekubali nilivyosema kwamba Chealsea ipo salama kila idara - Kuhusu mabeki kwa sasa utaona Zuma karudi na anapewa dakika chache chache kwenye PL, pia anapewa dakika 90 yeye baadhi ya mechi za FA akifanya combination Terry (Baba mwenye nyumba)

Haya yote yanafanikiwa ukiwa na Manager mwenye uwezo wa kutambua vipaji vya wachezaji na kuvikuza. Kwa sasa utaona kijana mdogo Nathan Ake amerudishwa kwenye kikosi kutoka mkopo, hii yote ni kufanya balance kwenye defence baada ya Ivanovic kuruhusiwa kuondoka.

Mzee mzima Fabb naye ameanza kurudi kwenye ubora kwake pale kwenye kiungo - naona mmeshamuona kwenye baadhi ya mechi za PL akianza pale kati akiwa na mashine NGolo Kante ambaye kwa hapa bongo nafikiri jina la kumfaa lingekuwa Mkata umeme.

Kukuhakikishia hilo tuliona kwa mara ya kwanza Chemistry nzuri sana kwenye game ya Chelsea dhidi ya Swansea City alipoingia Matric na kutengeneza kiungo cha watu watatu kwa mara ya kwanza yaani Fab, Matric na Ngolo. Haya yote ni matunda ya kuwa na benchi la ufundi lenye ubunifu wa hali ya juu, vijana waliuwa 3-1.
 
Wenger anatamani saana kuyafikia matunda aliyoyapata 2004 baada ya kumaliza ligi bila kupigwa, enzi za kina sol camble, Perez, Henry , viera nk ilikuwa raha kwa wqpenzi wa arsenal wakati huo. Wenger anajaribu lakini mambo ni magumu sana hasa baada ya kupotieza game ya City ni kama focus inaanza kupotea. Nafikiri sasa kaanza kuamini kwamba Football is about money!!! Bila kuwekeza pesa nyingi makombe utayasikia kwa majirani tu. Sanchez ndo huyoooo... Kama pesa haitatimia anayoitaka.
[/QUOTE]
Punguza spidi kwa mambo ya kusikia, Christian Vieri hajawahi kuichezea Arsenal, na Perez amekuja juzi tu hapa. Unless uwe unamaanisha Patrick Vieira, Robert Pires na Sol Campbell
 
Sina uhakika ni magoli mangapi Chelsea imefungwa kwa Counter attack, kama yapo hayafiki 2. Mengi ni makosa ya mabeki na mipira ya adhabu ndogo na kona. Kwa sasa hakuna timu inayopenda kukutana na Chelsea, maana kumaliza dakika 90 ni adhabu kwa timu pinzani. Yaliyowakuta City, Liver na Arsenal kwenye game za marudiano yana justify haya ninahoongea. Chelsea imekamilika kila idara kwa sasa.

Udhaifu wa Chelsea kweny huo mfumo, ni Cesar Azpilicueta ana kimo kifupi so anakua target ya timu pinzani kwenye mipira mirefu. Rejea Chelsea v Stoke City(Stamford Bridge pale, krosi nyingi zilikua zinamtarget Cesar Azpilicueta) na pia Tottenham Hotspurs v Chelsea(White Hart Lane, Chelsea walifungwa magoli mawili ya aina moja, krosi zote mbili zilipigwa upande wa Cesar Azpilicueta)
 
Udhaifu wa Chelsea kweny huo mfumo, ni Cesar Azpilicueta ana kimo kifupi so anakua target ya timu pinzani kwenye mipira mirefu. Rejea Chelsea v Stoke City(Stamford Bridge pale, krosi nyingi zilikua zinamtarget Cesar Azpilicueta) na pia Tottenham Hotspurs v Chelsea(White Hart Lane, Chelsea walifungwa magoli mawili ya aina moja, krosi zote mbili zilipigwa upande wa Cesar Azpilicueta)
Ni kweli hili kocha kashaliona na nafikri amelifanyia kazi kubwa mno kwani mabao ya namna hii yamepungua, hata Moses pia si mzuri sana kwenye set piece (Mipira ya juu iliyokufa) na pia kujilinda - rejea goli la kwanza la Tonteham ambapo Moses alijaa kufanya mfugaji asiwe offside wakati hakutiwa kuwa pale kwa wakati huo.

Hii ndiyo hatari ya mfumo huu kwani Cesar anatakiwa acheze sambamba upande wake kushoto na Alonso, hawa wawili wasipoelewana na timu pinzani ikaona mwanya huo basi inaweza kuwa msiba na hicho ndiyo kilitokea wakati Chelsea inasubiri kuvunja record watu wakaharibu kutumia makosa kwenye upande huo huo.

Point, je makosa haya yanajirudia rudia?? jibu hapana!! hii ndiyo kazi ya bechi la ufundi lenye weredi.
 
Ni kweli hili kocha kashaliona na nafikri amelifanyia kazi kubwa mno kwani mabao ya namna hii yamepungua, hata Moses pia si mzuri sana kwenye set piece (Mipira ya juu iliyokufa) na pia kujilinda - rejea goli la kwanza la Tonteham ambapo Moses alijaa kufanya mfugaji asiwe offside wakati hakutiwa kuwa pale kwa wakati huo.

Hii ndiyo hatari ya mfumo huu kwani Cesar anatakiwa acheze sambamba upande wake kushoto na Alonso, hawa wawili wasipoelewana na timu pinzani ikaona mwanya huo basi inaweza kuwa msiba na hicho ndiyo kilitokea wakati Chelsea inasubiri kuvunja record watu wakaharibu kutumia mamosa kwenye upande huo huo.

Point, je makosa haya yanajirudia rudia?? jibu hapana!! hii ndiyo kazi ya bechi la ufundi lenye weredi.

Ndio maana nasubiria kwa hamu sana raundi hii ya pili, Chelsea v Man City na pia Man Utd v Chelsea, nione Pep Guardiola na Jose Mourinho watakuja na kitu gani cha ziada dhidi ya 3-4-3 hali kadhalika Everton v Chelsea, Ronald Koeman nae ni mzuri sana kwenye tactics. Game hizo zitakua ni Tactical battle
 
Mkuu Mwana Mtoka Pabaya, nilimaanisha Arsenal hii hapa ambayo ilikwenda unbeaten 14 games msimu wa 2003 -04, ambayo Wenger anaiota aitegeneze tena lakini imeshindikana kabisa, kila mwaka mambo yanazidi kuharibika. Sisi wapenzi wa soka hasa la England tulitaka aihakikishie dunia msemo wake kwamba " Soccer is not all about Money" lakini hadi leo hii imeshindikana. Mpira ni pesa anayebisha atuhakikishie uwanjani. Hiyo chemistry ya viungo 4 yaani Pires, Silva, Vierra na Ljungberg haijawahi kutokea tena kwenye PL. Hata sisi ambao hatukuwa washabiki wa Arsenal wakati huo tuliikubali.

Hapo akina Wiltord, Reyes, Parlour, Edu, Kanu na Aliadiere wakiwa wanasubiri nje wa lolote lile.

upload_2017-3-2_15-24-12.png
 
Ukitaka kuidhibiti Chelsea uwe na lengo Mmoja tu.kwamba hutaki kufunga goli ili ubaki tu kutafuta suluhh ya kutofungana .ukijifanganya tu kupanda kutafuta goli ukikosea tu umekwisha .mfano man u, Tottenham, man city
Kauli yako niliikubali kwenye game na Burnley, jamaa walirudi nyuma wote mpaka mwisho wakapata point moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom