Barca 3-0 PSG, halafu nkukatishe kidogo,mpira sio hela peke yake Mancity wako wapi?,chelse je mpira ni adoption ya combination ya wachezaji waliokaa pamoja muda mrefu,sio kuokoteza tu kama Mancity au PSG
Ndugu wana jf tutakuwa pamoja kukuleteeni matangaazo ya moja kwa moja kutoka nyon ambapo ndio panapofanyika draw hii ya uefa champions league kuwa nami chebi a.k.a mzee wa kisiwa
kama tunavyojua timu ambazo zimeingia nusu fainal ya uefa champions league ni real mardid fc barcelone bayern munich na na Dortmund na leo ndia tunasubiri draw ambayo itaamua ni nani na nani wataonyeshana ubabe kuwania kuingia fainal
ambayo fainal itachezwa tarehe 25 may 2013 ndani uk wembley.
mkulu chebi, draw itakuwa kama hivi, makamu bingwa wa cl Bayern Munich vs Real Madrid. FC Barcelona vs BvB Dortmund. Hapa timu zote ni nzuri na bora pia. Natabiri dortmund watacheza fainal dhidi ya bayern munich pale wembley may 25.
mkulu chebi, draw itakuwa kama hivi, makamu bingwa wa cl Bayern Munich vs Real Madrid. FC Barcelona vs BvB Dortmund. Hapa timu zote ni nzuri na bora pia. Natabiri dortmund watacheza fainal dhidi ya bayern munich pale wembley may 25.