Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
MECHI ZA LEO:
Arsenal Vs Bayern Munich
Napoli Vs Real Madrid
Arsenal Vs Bayern Munich
Napoli Vs Real Madrid
MECHI ZA KESHO:
Barcelona Vs PSG
Borussia Dortmund Vs Benfica
Barcelona Vs PSG
Borussia Dortmund Vs Benfica
Hatua ya mtoano ya 16 bora katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, kuendelea leo ambapo Arsenal watakuwa nyumbani kuwakaribisha wajerumani Bayern Munich. Ikumbukwe mchezo wa kwanza Arsenal alipigwa 5-1 hivyo leo anahitaji ushindi wa goli 4-0 ili asonge mbele, Je mwalimu Arsene Wenger ataweza kugeuza matokeo na kupata ushindi wa 4-0 leo hasa wakichagizwa na advantage ya uwanja wa nyumbani?
Kesho pia kuna shughuli pale Nou Camp, ambapo Barcelona watakuwa wanahitaji ushindi wa goli 5-0 ili wasonge mbele, je wataweza kubadili matokeo dhidi ya PSG?
Karibu utupe mawazo yako.