Udukuzi mawasilano ya sim / hacking

Udukuzi mawasilano ya sim / hacking

mijanaume mibwege utaisikia tuu,eti kumegewa ni siri ya ndani.
 
mijanaume mibwege utaisikia tuu,eti kumegewa ni siri ya ndani.

Yani wewe ukiona una megewa, tambua hiyo ni alam kuwa hujakamilika mwanaume katika mambo flani flani, so kupitia hii ishu ndio unadhihirisha udhaifu wako, kuwa wewe ni dhaifu.
Sasa wewe endelea kupeleleza alacho bata…..
 
Yani wewe ukiona una megewa, tambua hiyo ni alam kuwa hujakamilika mwanaume katika mambo flani flani, so kupitia hii ishu ndio unadhihirisha udhaifu wako, kuwa wewe ni dhaifu.
Sasa wewe endelea kupeleleza alacho bata…..
Nonsense.
 
Mtafte mtu mwenye uelewa wa Android programming na mwambie akutengeneze a background running control server implemented apk ambayo ita intercept message kwa kutumia smsManager API,kuzi format then kukutumia mwenye namba yako
 
Nenda play store download apps backup call,sms, contact hiyo itakuonesha msg zote alizochat na akazifuta sim alizopigiwa alizopiga namba muda alioongea na akazifuta ili usione, utaifungua hiyo software baada ya kuweka line yake kwenye hiyo simu yenye Hiyo apps utabackup na utapata mawasilino yote ya mwezi mzima haijalishi hata kama anatumia simu ya tochi taarifa zitakuja tu
 
Back
Top Bottom