Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili udsm,natafuta first year wa kunibeba. Awe binti kwasababu nami ni binti. Semester ya kwanza nalipia ROOM yote mimi. Ni pm kwa aliye tayari.
Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili udsm,natafuta first year wa kunibeba. Awe binti kwasababu nami ni binti. Semester ya kwanza nalipia ROOM yote mimi. Ni pm kwa aliye tayari.
bora uwatafute kwenye list ya selected students hasa skuli uliyo soma olevel..... au 2mia marafiki wako wengine kutafuta..... humu ndani magumashi 222222.........
bora uwatafute kwenye list ya selected students hasa skuli uliyo soma olevel..... au 2mia marafiki wako wengine kutafuta..... humu ndani magumashi 222222.........
Nyie hii tabia ya kubebana acheni maana mashoga wengi na wasagaji hicho ndo chanzo chake dk ndondi kashawatibu wanafunzi wengi sana hapo udsm hasa hapo mabibo hosteri au upumbafu acheni kwa kisingizio kubebana hasa nyie mnaotafuta watu wa kubebana
Nyie hii tabia ya kubebana acheni maana mashoga wengi na wasagaji hicho ndo chanzo chake dk ndondi kashawatibu wanafunzi wengi sana hapo udsm hasa hapo mabibo hosteri au upumbafu acheni kwa kisingizio kubebana hasa nyie mnaotafuta watu wa kubebana
Nyie hii tabia ya kubebana acheni maana mashoga wengi na wasagaji hicho ndo chanzo chake dk ndondi kashawatibu wanafunzi wengi sana hapo udsm hasa hapo mabibo hosteri au upumbafu acheni kwa kisingizio kubebana hasa nyie mnaotafuta watu wa kubebana
Kubebana hakuingiliani kabisa na ushoga au usagaji watu kama wanatabia izo wanaweza kufanya ata kama hawajabebana,acha ku-discourage watu. Iyo ni Tabia ya mtu binafsi.
Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili udsm,natafuta first year wa kunibeba. Awe binti kwasababu nami ni binti. Semester ya kwanza nalipia ROOM yote mimi. Ni pm kwa aliye tayari.
habari...!!mimi nmechaguliwa hapo though sijui kama ntapangwa mabibo au main campus ila sibebi bali ntauza room popote ntakapopata! Kama uko tayari ni PM