Vicin
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 676
- 295
PointiHata kwa idadi tu, wanaomaliza diploma na kuingia vyuo vikuu huwa wanakua wachache ukilinganisha na wale wa kidato cha sita. Ninaamini hakuna bahati katika hili, ni vigrzo na ushindani ndio vinaamua.