Msomi_wa_bongo2
Member
- Nov 6, 2015
- 46
- 18
Baadhi ya vyuo kama SUA,UDOM sasa hivi wanaweka majina ya usahili(interview) ya nafasi mbali mbali za kazi kwenye tovuti(website) yao,tabia ya kutumia njia ya kupiga simu kuwa ndio njia pekee inakatisha tamaa waombaji wa nafasi hizo.