Ndugu wanajamvi chondechonde kwa wale wenye updates zozote juu ya mchakato huu kama nilivyo jaribu kuanisha hapo juu(kwa kitivo cha sheria),naomba msipite kimya wajumbe!.
Unapo log in, Ukifungua Jukwaa Lolote Utaona Pale Juu Kabisa Pameandikwa "New Topic" Click hapo ndo waweza Kuanza Kuandika Post (Thread) Yako.
Muhimu: Chagua Jukwaa Sahihi Kwa Ajili ya Post/Thread Yako. Kama Kwa Mfano Unataka Kupost Juu ya Ajira Basi Ingia na Upost Kwenye Jukwaa la Nafasi za Kazi na Tenda, Kama ni Siasa Basi Post Kwenye Kukwaa la Siasa...!