Ajabu sana hiki chuo,yaani wamelala mpaka vyuo vingine vinakuja kuwa bora kwa huduma kuliko chuo cha miakak ya sitini.
Wao wanajivunia kuwa na profesas wengi na ranking wanazopewa na institution za nje. Sijajua vigezo vinavyotumika kuipa ranking UDSM kama vinaangalia mambo yanayoendelea pale.
Chuo hiki kimejaa urasimu kila kona,kuanzia kwenye kusoma,matokeo yanapikwa, sasa hivi hadi procedures za kubakisha wanafunzi ziko kiaina aina tu kwa baadhi ya faculty na schools hasa pale UD School of Business.