tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
kuna wanaotafuta sababu za kudisco, hela haitoshi sawa, lakini hili hawakuliona toka mapema? Hawa ni wasomi wanaosukumwa na njaa, mafuta ya taa yakipanda bei hawaoni, mauaji ya raia kwao siyo tatizo, kuhusu katiba mpya hakuna anayeuliza kinachoendeleaWAZUSHI TU!!!!!! wala watu wanaosoma mwaka wa kwanza na mwaka 1-4(llb) hawawezi kumalizia semester?? au wanatafuta supp na C kwa kupoteza muda!!!