Mwishoni mwa semester iliyopita ulitokea mgomoUDSM, kilio kikiwa ni "Kupungukiwa" hela za kujikimu.WanachuoWali poozwa kwa kuahidiwa kuongezewa kiwango cha hela kwani gharama zaMaisha ni kweli zimepanda (tumesikia pia bungeni sijui ni kwa kiasi gani)!Kutuliza hali ya wakati ule,uongozi wa chuo uliamuaKutoa coupon kwa wanachuo ili angalau wapate mlo (hawakuangalia tatizo la nauli kwaWanachuo wanao ishi hostel na gharama zinginezo tofauti na kula). Hela walizo kopeshwa kwa style ya coupon zililipwa kwa kukatwa katika hela walizo wekewa mwanzoniMwa semester ya pili,hapa,tatizo bado lilirudi pale pale,kwa kulipa deni kwa hiyohautegemei hela zilizo baki baada ya kulipa deni zimfikishe mwisho wa semester ya mwisho. Kawaida hela ya field (Practical Training) hutolewa kabla ya kuanza kwa mitihani ya kumaliza mwaka.Lakini mwaka huu,bodi ya mkopo
(HESLB) inataka itoe hela baada ya mitihani kumalizika.(Kwanini kubadili utaratibu bila taarifa rasmi tena kibabe hivi?)Ikimbukwe pia kwamba,wapo wanachuo wanao wahi kumaliza mitihani hivo kuondoka mapema,…Na pia,mitihani inaisha rasmi tarehe22.07.2011 na field inaanza rasmi tarehe25.07.2011,..yaani kunaSiku mbili tu kati ya kumaliza mitihani na kuanza field,….amazing.Kwa mtu anae kwenda kufanya field mwanza,kigoma,kagera,mara etc atafika lini huko?Na pia ataamini vipi kwamba atakua amepata hela hiyo tarehe 23 july,na atumie usafiri gani wa haraka,kwa kiwango kidogo cha hela anazopata kuwahi kigoma awahi field ukizingatia kwamba ukichelewa hata siku moja tu umejiondolea kiasi flani cha maksi?Ni nini kinaifanya serikali kupitia bodi iamini kwamba hela ambazo hazikutosha semester iliyopitazinatosha semester hii ukizingatia kwamba hela hizo hizo zilikatwa deni la coupon la semester iliyo pita? Kwa kifupi,hela ya field pamoja na kwamba inawasaidia wale walio wahi kumaliza mtihani kuondoka mapema,
ina saidia pia kuwapa support wale ambao wameishiwa hela katika mda mbaya kama huu wa kuingia katiaka mitihani ambapo mtu hahitaji stress za vipi atakula leo.Jana tumeenda bodi ya mkopo hawa kutusikiliza,leo tumetaka kufanya kikao cha bunge tumenyimwaVenue,utawala wanajua kabisa kwamba tunataka kubariki mgomo,lakini hawa saidii kituKutunyima venue,maana tunaipisha tu siku ya leo kama sikukuu na kesho kama wanachuo hawajapewaHaki yao basi na tubariki mgomo kupitia revolutionary square,…Hadi hapo kesho,tunasubiri kudai haki.Waziri *soma pia:
Home