UDSM imeachia round 4 & 5


Msijali ndugu, tupo pamoja pia tahakikisha kesho kila kitu kipo Sawa pia tajitahid nifike makao makuu ya Nacte ili tuone wanatusaidiaje!?
 
Msijali ndugu, tupo pamoja pia tahakikisha kesho kila kitu kipo Sawa pia tajitahid nifike makao makuu ya Nacte ili tuone wanatusaidiaje!?

ebu tuwe serious kidogo mwene yupo dar na mwene nia ya dhat atoe namba alaf watu wamtumie namba za watu watakae jumuika nae kesho n vzur ikfanyika hvo mapema atume no then watu wamtumie no ili awaunge group kesho mjue mtaonana vp?wengne tupo mikoan.tuwaklshen hasa wa udsm cz kule ndo kwene utata zaid s mnatambua hal yetu ilvo lakn
 

hujatupa feedback mkuu
 
hujatupa feedback mkuu

ebana mshikaji alienda siku ya jumamosi pale udsm jengo la utawala chumba namba 105, akajaribu kujieleza kuhusu hii inshu jamaa wakamjibu kuwa mhusika wa izo mambo kwa siku hiyo hajaingingia kazini, kwaiyo akashauriwa arudi siku ya leo jumatatu, hivyo basi bado nategemea majibu kutoka kwa uyo mwanetu, alafu pia wana wengine kina mpambalachuma na wengineo kama mungu atawaongoza leo basi wanaweza kutuletea feedback pia,
 
Wale wa udsm tupeane mrejesho namba mlizoziweka hazipatikane mmefikia wapi vp wanasemaje je bado kuna batch nyengine
 
Morning humu vip inakuaje m?ana kesho ndo siku ya ku report UDSM na chuo hawajatoa majina yetu tunafanyaje ndugu m?ana hatujielew wengine hapa
 
Nafikiri sasa uchaguzi umeisha maana ulikuwa ukienda wanasema mpk uchaguzi huishe maana sehemu hile ilikuwa inatumika wale wa dar muende kuhuliza kama kuna batch bdo imebakia tuwe na matumaini maana tunakosa usingizi
 
Wale wa Dar jaribuni kwenda kuhuliza kama bdo kuna batch nyengine
 
vipi kuhusu tarehe ya kuripoti awaja tbadirishia kama wenzetu udom...!!?
 
Morning humu vip inakuaje m?ana kesho ndo siku ya ku report UDSM na chuo hawajatoa majina yetu tunafanyaje ndugu m?ana hatujielew wengine hapa

Mkuu nacte walikuchagua provissionaly kwa faculty gan?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…