Mpambalachuma
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 362
- 44
nmegundua ktu upendeleo unafanyika kwa watu wa tcu,kama majna yamepelekwa tang tarehe 12 tcu bdo tu wanawapa kipaumbele sx cz batch four tcu ilkua kabla ya hyo tarehe na udsm wameshatoa hya kwel majanga .kunakutoswa sio kla alieptia tcu yupo vzur kuliko alieptia nacte.n changamoto tu za kmaisha ndio maana kla mtu anatoka kvyake.real thz z not fair
Sasa tufanye nini ndugu, maana Hali tete
Mwamini bwana kila kitu kitaenda sawa kwan hata sisi ilikuwa vile lakn tulimtanguliza Mungu kwani yeye ndo anajibu kila ombi letu, Nawakalisha sana chuon
Ndiyo, ukimwamini Mungu kwania njema kila kitu kinakuwa sawa
Jaman hebu tufafanulie hili linakuaje!?
Unajua kila kitu kinaenda step by step, usiwe nahofu sawa kila kitu kitakuwa sawa
Hofu ipo kubwa maana zimebak siku 5 tuanze reporting nasis hatujui hatma yetu mkuu
Chamusingi tu we fanyakujiandaa tu na chuo sawa, umesema umeomba Udsm
Nimepata Udsm, lkn ktk profile yangu ni provisional selection had chuo kukonfirm, shida tu sis Nacte mkuu
Kwan umeangalia kwenye website ya udsm
Basi kama upo dar
Jumatatu fanya kwenda tcu au wapigie cm
Lakn ondoa mawazo kabsa sawa, kila kitu kitakuwa sawa, karibu sana udsm
Basi kama upo dar
Jumatatu fanya kwenda tcu au wapigie cm
Lakn ondoa mawazo kabsa sawa, kila kitu kitakuwa sawa, karibu sana udsm
poa mkubwa tumekupa ila sis n kuptia nacte sio tcu,pia shukran kwa kutupa moyo.ngoja tuongeze maombi
Tujitahid watu wa NACTE tuliopo Dar, kesho twende Udsm jaman
nmegundua ktu upendeleo unafanyika kwa watu wa tcu,kama majna yamepelekwa tang tarehe 12 tcu bdo tu wanawapa kipaumbele sx cz batch four tcu ilkua kabla ya hyo tarehe na udsm wameshatoa hya kwel majanga .kunakutoswa sio kla alieptia tcu yupo vzur kuliko alieptia nacte.n changamoto tu za kmaisha ndio maana kla mtu anatoka kvyake.real thz z not fair
jamaangu umeongea jambo la msingi sana asee, unajua kuna wengine wapo ukerewe huko na wanahitaji kuomba ruhusa na majina hayajatoka, basi hata kwa nyie mliopo dar mungu akiwaongoza mkienda udsm na mkapata jibu basi na wale wa mikoani itabidi waombe ruhusa hata kwa kutumia profile view ya nacte. kaka MPAMBALUMA fanyeni ivo ariff tunawategemea sana maana huu msiba bado ni wetu na ukifanya ivo utasaidia vijana wenzako zaidi ya 1000 so fanyeni asee.Tujitahid watu wa NACTE tuliopo Dar, kesho twende Udsm jaman