Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

Kwa hiyo Mungu anapendelea? Wengine alifinyanga tu akiwa busy? Maadam alitumia udongo alikua na oven tofauti akiwa na malengo yake na hakosolewi.
 
Wana roho mbaya hao we simuliwa tu, halafu hawajui kupenda ila kukubali kutoka na na uhitaji wake kwa wakati husika. Ni sura na umbo tu.
Naam, we ndo unawaelewa hawa jamaa.... Wako extremely suspicious.... Wanaweza kukukuta umebanwa na shida fulani wakakupita km hawakuoni... Huwa nawashangaa sana wanaowasifia hawa watu. I hate them like never before!!!
 
jamaangu dereva alimvusha mmoja hadi Dom waanza kuishi kama mke na mme,,,,, haikupita mwezi kuingia ndani tunakumbana na mwangwi!! Sijui alibebaje vitu vya ndani hadi Rwanda
Shabbaash...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…