wana jf hivi hawa UDOM walishaita watu kwa nafasi zote au wanaita kwa mafungu tu?Maana mm niliomba post ya IT kama Network Administrator lakini sijapata update zozote.Mtu yeyote mwenye kujua lolote juu ya post hiyo anijuze wadau!maana niko kizani na hali ishakua mbaya street
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.