Tena hasema wamechoka tuu. Aliomba wananchi muda wa kufanya service iwe october. Yaani kada shupavu wa ccm anakiri wamechoka wanahitaji service. Naomba mafundi magari mtufafanulie unapofanya service huwa kunakuwa na hatari gani na kuna muda maalumu wa kusimamisha chombo? Isije ikawa ikiachwa ifanye service ndio marehemu juu ya mawe.