SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Katika chuo kikuu cha Dodoma jambo la kushangaza ni uongozi wa juu umeamua kublock SSID UDOM FACEBOOK. Kwani kila unapotaka kufungua Facebook inakataa na kwa jambo hilo limeleta utata na wanafunzi wanalalama kwa nini Chuo imeamua kufanya ivyo.
Wana JF je hili ni halali ama kutakuwa na sababu iliyojificha.
Wana JF je hili ni halali ama kutakuwa na sababu iliyojificha.