Nmejarib imegoma mkuuingia kwenye menu pale zeni utaona neno unconfirm click hapo
Walikulazimisha kuomba UDOM? Kuwa mpole TafadhaliMkuu hata mimi wamenifanyia hivyohivyo alafu eti unconfirmation wanataka code,huu ni uhuni siwezi nikawapa code wale wapuuzi,nimeshaconfurm muhas kwa kutumia code huko udom watajua wao wenyewe na system yao
Mkuu hata mimi wamenifanyia hivyohivyo alafu eti unconfirmation wanataka code,huu ni uhuni siwezi nikawapa code wale wapuuzi,nimeshaconfurm muhas kwa kutumia code huko udom watajua wao wenyewe na system yao

Code yako ya confirmation wao wameipata wapi na code anatumiwa mwanafunzi na sio chuo!Mimi milichaguliwa multiple selection udom na ifm na nikaconfirm ifm lakini cha kushangaza nmeingia kwenye account yang ya udom nmekuta napo washaconfirm sa nfanyaje jmn
Hawa madogo wa siku hizi ni shida mkuuKama autaki kwenda sasa ulipaomba panini ndugu dah
Hapa ntamtetea kumbuka kuna chaguo la kwanza alafu kuna chaguo la pili na zaid sasa kama ilikuwa chaguo la pili na chaguo la kwanza limekubali sa utaweza kujigawa si ni unaamua kwenda lile la kwanza sa dogo anakosa gani zaidi analalamika kulazimishwaKama autaki kwenda sasa ulipaomba panini ndugu dah
Apo no way out qaqa yy tu aqubaliane na matokeo coz ata tcu sizan kama wanaweza kukubaliana nae ety udom wamemconfirmia coz uwez kuconfirm bila code ko pole kwake wenda ndo ukawa mpango wa mungu yy kwenda ukoHapa ntamtetea kumbuka kuna chaguo la kwanza alafu kuna chaguo la pili na zaid sasa kama ilikuwa chaguo la pili na chaguo la kwanza limekubali sa utaweza kujigawa si ni unaamua kwenda lile la kwanza sa dogo anakosa gani zaidi analalamika kulazimishwa
Je ameconfirm upande wapili itakuwaje?Apo no way out qaqa yy tu aqubaliane na matokeo coz ata tcu sizan kama wanaweza kukubaliana nae ety udom wamemconfirmia coz uwez kuconfirm bila code ko pole kwake wenda ndo ukawa mpango wa mungu yy kwenda uko
Maamuzi tunayochukua sasa kuna siku utatamani irudi ubadilishe. Nenda tu UDOM
Kwani umesikia kila mtu anategemea mkopo wa serikali,pita pembeniNgojea ukose mkopo![]()
![]()
![]()
![]()