UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

..Inaonyesha kabisa hujui sifa ya Chuo bora na kama ulikua hujui Mkuu,hamna chuo kinachotoa Elimu bora kuliko kingine hapa Tanzania Its all the same na sitafuti kujifariji najua ukweli upo wapi!!
Sweet Lord!!!!!!!!! Kweli UDOM ni *****
 
The university of Dodoma.
Embracing knowledge.
[HASHTAG]#imeeleweka[/HASHTAG] mkuu.
 
Yani ubora wa chuo unapimwa kwa kuangalia vigezo ivyo??? tuliwahi sana kumuondoa Mzungu for sure
 
Sijawahi kuamini hiki ni chuo kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani mbona mapaka sasa hivi Udom hawajatoa joining instructions ili tukajiandaa mapema
 
Naipenda udom ule upande wa IT tuu, kweli nimeona product bora zenye impact kwenye jamii. sehemu nyingine sijui.
 
Kweli na ww umechanfanyikiwa ubora wa chuo ni kutogoma au prospectus kuwekwa online?? Mhu halaf nan kakuambia kuna chuo ambacho hakiazim wahadhir Tanzania hii!!af unaijua sbb ya kutochukua MD mwak huu au unafuata mkumbo!!
 
Kusifia sehemu uliyosoma ni kawaida kwakuwa ata kama kuna mabaya na mazuri yapo pia ambayo yalikufurahisha, ila kwenye ukweli haina haja ya kumumunya maneno, ukitaka kujua udom ni vigumu sana kukitetea we maliza vizuri alafu nenda kwenye kazi ya kupita kwa interview, kama hiyo course uliyosoma utakuta wanafunzi kutoka UDOM, SUA, MZUMBE, MUHIMBILI we jua tu ushakuwa fungu la kukosa labda utumie alternative ingine

Mwisho wa siku mtoa mada yuko sawa kulingana na mawazo yake, ila tatizo lake yeye hataki mawazo ya wengine anataka anachokiamini yeye ndo iwe hivo ilhali aliandika hii thread akiwa kashiba tu ugali na amekaa hostel ghorofa ya 4 akaona atililike, ikiwa hajafanya research yoyote ya kulinganisha ubora wa elimu na vyuo vingine

Hao walioweka ranking ya vyuo na kuweka udom ya 5 Tz na 185 kwa Africa hawakuendeshwa na mahaba kama huyu mtoa mada, bali wanafanya research na wanatumia vigezo vyao ili makelele University iwe mbele ya University of South Africa

Penda ulichonacho maana kuna wanafunzi wa Kampala University nawao wanaamini chuo chao ni bora kuliko vingine hapa Tanzania
 
Jamani mbona mapaka sasa hivi Udom hawajatoa joining instructions ili tukajiandaa mapema
Usiwe na was was bro itawekwa tuu mtandaon !chuo kinafunguliwa tareh 29/10!! Udom inawanafunz weng sana so itakuwa wapo kweny utaratib wakuingiza registration namba zenu ili ukifika chuo usipate shda
 
INFACT UDOM NI CHUO AMBACHO NI KICHANGA LAKIN KWA SKU ZA USONI KINAENDA KUWA CHUO KIKIBWA SUALA LA UD AU MUHIMBILI KUWA NA RESEACH NYINGI NI SABAB NI VYUO VYA ZAMZN TANGU 1961 TOFAUTI NA UDOM CHUO CHENYE MIAKA TISA HADI SASA...........................
 
Ivi mlishawai kufikilia maisha baada ya chuo, mkikua mtaacha kubishania kipi chuo kizuri na hasa pale unapomaliza chuo ambacho wewe unakiamini ni kizuri alafu unasugua mitaani haliyakua best wako ambaye alisoma chuo cha ajabu ambacho ulikua ukijui kama na chenyewe ni chuo kikuu ulikua unahisi kam banda fulani la mifugo lakini mchizi wako ndo vile kapata kazi kupitia ako ka degree chake ambacho wewe hukitambui ila TCU wanakijua.
Sio siri mnanifurahishaga saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…