Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Mkuu chuo kimejengwa na Mchina,unategemea nini sasa! Majengo ya ofisi za wakufunzi hayana maji kule vyooni. Mabwenini maji ya shida vyooni! Kiujumla mkwere aliingizwa choo cha kike kwa kuzindua jengo la utawala tu ambalo lina ofisi executive za wakulu utafikiri ofisi za mabilionea!