Udom kinanukaa kesho, vipeperushi vyasambazwa.

Udom kinanukaa kesho, vipeperushi vyasambazwa.

BAPUPEGHE

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
220
Reaction score
38
Kuna vipeperushi na Matangazo yapo UDOM kuwataka Wanafunzi wagome.
Mgogoro wao ni kwamba hawajapata mpaka sasa pesa ya kujikimu kitu kinacho leta adhaa kubwa.

Hata hivyo umetumwa ujumbe wa wanafunzi kumi Kuonana na Waziri Mkuu.
 
Chonde chonde kama kuna mbunge yeyote wa Chadema hapo karibu na Udom aondoke haraka maana atashikiliwa na polisi kwa kuchochea
 
Ivi izi ela zao huwa zawa budgeted toka mwanzo wa mwaka wa FEDHA sasa zinachelewa wapi
Nimeanza amini kuwa wakubwa wanazipiga kwa fixed account wakati vijana wanaumia!
Hii ni kujitakia laana ya wazi wazi
 
Watu wanazungushia ktk biashara zao.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ivi izi ela zao huwa zawa budgeted toka mwanzo wa mwaka wa FEDHA sasa zinachelewa wapi
Nimeanza amini kuwa wakubwa wanazipiga kwa fixed account wakati vijana wanaumia!
Hii ni kujitakia laana ya wazi wazi

Hapo kwenye bold; badilisha - sio wakubwa bali ni wajinga.
 
UDOM acheni upuuzi wenu, mara kesho mtakinukisha, mara OOOooo kuna wanafunzi wametumwa kwenda kuonana na waziri mkuu, then what ? ili iweje ?

Endapo hamjui kuendesha kunji njooni hapa UDSM tuwapatie tuition kidogo, tena bure. Ndugu zanguni kuweni na mshikamano na umoja, otherwise wata-wachambua kama karanga.
 
Kuna vipeperushi na Matangazo yapo UDOM kuwataka Wanafunzi wagome.
Mgogoro wao ni kwamba hawajapata mpaka sasa pesa ya kujikimu kitu kinacho leta adhaa kubwa.

Hata hivyo umetumwa ujumbe wa wanafunzi kumi Kuonana na Waziri Mkuu.

Siku hizi Pinda anatembea na fuko la hela.... kama hamuamini kawaulizeni watu wa Mtwara. Mgomo UDOM ushaisha...
 
UDOM acheni upuuzi wenu, mara kesho mtakinukisha, mara OOOooo kuna wanafunzi wametumwa kwenda kuonana na waziri mkuu, then what ? ili iweje ?

Endapo hamjui kuendesha kunji njooni hapa UDSM tuwapatie tuition kidogo, tena bure. Ndugu zanguni kuweni na mshikamano na umoja, otherwise wata-wachambua kama karanga.

Haya nakuja hapo unipe tuition na mimi nikinukishe hapa St. John's University. tuonane revolution square saa nane kamili...
 
Yaani nikikumbuka mwaka wetu kawambwa alivyotudanganya kuhusu field hata sina hamu nahisi mkienda kuonana naye huyo pm itakuwa hivyohivyo.
 
Hiii habari sio kweli mtoa mada anataka kutisha uongozi wa Chuo cha UDOM watoe hela tu. Hakuna vipeperushi vilivyosambazwa wala nini.
 
Sasa bodi ya mikopo ipo, kwanini wasilalamike huko, muda gani umepita tangu wapewe pesa Mara ya mwisho?
 
UDOM acheni upuuzi
wenu, mara kesho mtakinukisha, mara OOOooo kuna wanafunzi wametumwa
kwenda kuonana na waziri mkuu, then what ? ili iweje ?

Endapo hamjui kuendesha kunji njooni hapa UDSM tuwapatie tuition kidogo,
tena bure. Ndugu zanguni kuweni na mshikamano na umoja, otherwise
wata-wachambua kama karanga.

Kwan c ndo hawa wanaomwandaliaga Nape mapokez yakufa m2? Sina iman na chuo cha UDOM hakina wanamapinduzi zaid ya vibaraka wa magamba!
 
Wapuuzi nyiee mwaka 2010 simlimchangia Kiwete pesa ya kampen ,acheni kulialia hapa
 
Haya nakuja hapo unipe tuition na mimi nikinukishe hapa St. John's University. tuonane revolution square saa nane kamili...
he nawewe kumbe unasoma naona kila saa na kila mahali unashiriki mijadala hapa jf huo mda wa kusoma unaupata saa ngapi?
 
he nawewe kumbe unasoma naona kila saa na kila mahali unashiriki mijadala hapa jf huo mda wa kusoma unaupata saa ngapi?

I'm good at multi-tasking mwungwana, kwa mfano hapa nipo na madesa na huku na browse Jf..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom