Cafeteria pia n hatari kwa pesa zetu axee
Maisha yangu ya chuo yote toka nianze ninakula ujasi kwa mama mtumishi, sijawahi umwa tumbo wala kuhara..Daaah, inakuwaje wasomi wa chuo kikuu mnazama ujasi kula huku mkijua fika kabisa mazingira kinapoandaliwa hicho chakula ni machafu kupindukia na hatarishi kwa afya zenu??