UDOM first year 2016/2017 Tukutane hapa

UDOM first year 2016/2017 Tukutane hapa

thomas_360

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
1,458
Reaction score
1,436
Habarin ndugu zangu,, huu uzi nauanzisha kwa kuwaweka pamoja wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika program mbali mbali katika chuo kikuu cha dodoma,, kupeana taarifa za awali kuhusu chuo na hata program husika..hivyo basi ushirikiano unahitajika lakini pia kwa wale ambao wamechaguliwa program za bachelor of science in chemistry, biology, mathematics, physics, statistics na bachelor of science with education kwa pamoja ni college of natural science unaweza kunitafuta whatsapp kwa namba 0625641036 kwa infomation zaidi kuhusu hiyo college kwani nipo hapo naingia mwaka wa tatu kwa program ya bachelor of science in chemistry
 
Habarin ndugu zangu,, huu uzi nauanzisha kwa kuwaweka pamoja wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika program mbali mbali katika chuo kikuu cha dodoma,, kupeana taarifa za awali kuhusu chuo na hata program husika..hivyo basi ushirikiano unahitajika lakini pia kwa wale ambao wamechaguliwa program za bachelor of science in chemistry, biology, mathematics, physics, statistics na bachelor of science with education kwa pamoja ni college of natural science unaweza kunitafuta whatsapp kwa namba 0625641036 kwa infomation zaidi kuhusu hiyo college kwani nipo hapo naingia mwaka wa tatu kwa program ya bachelor of science in chemistry
Wanafunz wa chuo cha Kata wanamchecheto.
Mbona hamjiuliz kwanin wengne hawana mbwembwe kama nyiny.
Jaman tumekoma tusameen
 
Luna kampuni ya kuuza sola kule moshi inakaribia kufuna biashara zake sababu umeme umeende kila kijiji.
 
Jamani huna cha maana cha kujadili hapa bora upite usepe na sio kuongea ujinga
 
Unajua bahna kuna watu wanakera kweli kweli ww kama sio muhusika kwann usinyamaze kimya!!! Hayo mambo mnayosema kuwa udom ni chuo cha kata yalishasemwa mpaka watu wamechoka wanaokama ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu maana hutafaidika chochote tupia maneno kuhusiana na uzi unavyosema na sio kuleta mambo ambayo hayajengi...naipenda chuo changu ndo maana nafurahi kuwasaidia ndugu zangu wanaokuja kuanza masomo so kama vyuo vingine hawajaweka sioni sababu ya kuanza kusema cjui tuna kiherehere ,, sasa ww utaanzisha uzi hata watu hawajaona post zao....
 
Hakuna college of natural science,bali ni natural and mathematical science.Acha uongo wewe,km pm.
 
Naomba kuuliza kama tayar UDOM wamesha-release majina ya wanafunz wanaopaswa kujiunga first year 2016/17
 
hongereni mliopangiwa udom hakika hamuwezi kujuta kama atakayepangiwa SAUT na matawi take n.k
 
Back
Top Bottom