chamng'asi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 211
- 385
Nilifanya application nikasubmit, lakini nimeshawishika kufanya marekebisho ya course. Ni kama hawajaweka hiyo access au ni mimi tehama inanipiga chenga? Naomba msaada...
Wasiliana nao watakusaidia kwenye mfumo watakuweka kwenye incomplite then it ligi in kwenye profile yako baada kubadili hakikisha unafanya submitt vignevyo aplication yako itabaki incompliteNilifanya application nikasubmit, lakini nimeshawishika kufanya marekebisho ya course. Ni kama hawajaweka hiyo access au ni mimi tehama inanipiga chenga? Naomba msaada...