Hayo ndiyo matokeo ya Affirmative Action kwaajili ya kuwabeba watu wasiopenda kujibidiisha katika maisha...Wameharibu kila sehemu walizokabidhiwa kuziongoza...We need grown up leaders to clean up this mess created by these people
udom ilikimbizwa sana katika kujengwa, kuajiri wahadhiri na mambo mengine, hiki chuo chaweza kuleta majanga makubwa baadae