Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,175
- 48,459
Siku mbili zijazo CCM Iringa watafanya uchaguzi wa kumchagua Mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya mkoa. Lakini kama ilivyo kawaida ya "Karma" silaha ile ile ya Udini na Ukabila ambayo huitumia dhidi ya wapinzani wao, leo hii ndiyo inakivuruga chama hicho hapa Iringa.
Uislamu, Ukiristo, Uhehe na Uchaga ndiyo mzizi wa Kampeni hizo.
Uislamu, Ukiristo, Uhehe na Uchaga ndiyo mzizi wa Kampeni hizo.