Udini na Siasa Vyaitafuna Mbeya City

Udini na Siasa Vyaitafuna Mbeya City

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Je unajua kinachoitafuna Mbeya City hadi kushangaza wengi?

nitarudi hapa na habari za kiuchunguzi
Mbeya City ambayo iliwika sana msimu wa 2013/14 imeshindwa kukidhi matakwa ya wengi msimu huu baada ya kuambulia vichapo nyumbani na ugenini hali ambayo si ya kawaida kabisa. Why?

Mbeya City ilianza vizuri sana kwa kuungwa mkono na wakazi lukuki wa Mbeya iliwemo Halmashauri yenyewe na wafanyabiashara nguli

Upepo ulibadilika ghafla baada ya wanasiasa kupenyeza ajenda zao ambazo zilionekana kuungwa mkono na wanazi wa Mbeya City na hivyo kudhoofisha waliokua na nia njema kabisa ya kuisaidia timu hiyo bila kuegemea mrengo wa siasa.

Moja ya kundi lililoiathiri sana Mbeya City ni kundi la wafanyabiashara wakubwa ambao walihanikizwa kutoiunga mkono tena timu hiyo baada ya kuonekana kuwa na mtengo wa kushoto kisiasa na athari moja kubwa ilikua ni pale wafanyabiashara hao waliojitolea kuiweka timu hiyo kwenye hoteli moja iliyo chini ya usharika fulani wa kidini lakini ghafla wakajitoa baada ya kuona mwelekeo wa kushoto matokeo yake timu ikawa kwenye deni kubwa..hata ahadi kadhaa kama vile kununuliwa basi na kusaidiwa kujenga uwanja zimetoweka ghafla na tunakoelekea hata washabiki waandamizi huenda wakakosa udhamini kabisa kwani mechi ya Mgambo zilikwenda Coaster mbili tu na huenda ya Stand hakuna kabisa iliyoenda.

Sasa timu hiyo imebaki ukiwa na haina a very strong financial support ambayo ilifanya kucheza kwa kujituma muda wote, wachezaji wengi wamekopwa usajili .(ama ilivyo kwa Simba) hamkani si shwari tena.

Nitakuja tena na upande mwingine wa story
 
Mbeya City ambayo iliwika sana msimu wa 2013/14 imeshindwa kukidhi matakwa ya wengi msimu huu baada ya kuambulia vichapo nyumbani na ugenini hali ambayo si ya kawaida kabisa...why?


Mbeya City ilianza vizuri san kwa kuungwa mkono na wakazi lukuki wa Mbeya iliwemo Halmashauri yenyewe na wafanyabiashara nguli

Upepo ulibadilika ghafla baada ya wanasiasa kupenyeza ajenda zao ambazo zilionekana kuungwa mkono na wanazi wa Mbeya City na hivyo kudhoofisha waliokua na nia njema kabisa ya kuisaidia timu hiyo bila kuegemea mrengo wa siasa. Moja ya kundi lililoiathiri sana MbeyA City ni kundi la wafanyabiashara wakubwa ambao walihanikizwa kutoiunga mkono tena timu hiyo baada ya kuonekana kuwa na mtengo wa kushoto kisiasa na athari moja kubwa ilikua ni pale wafanyabiashara hao waliojitolea kuiweka timu hiyo kwenye hoteli moja iliyo chini ya uahsairka fulani wa kidini lakini ghafla wakajitoa baada ya kuona mwelekeo wa kushoto matokeo yake timu ikawa kwenye deni kubwa..hata ahadi kadhaa kama vile kununuliwa basi na kusaidiwa kujenga uwanja zimetoweka ghafla na tunakoelekea hata washabiki waandamizi huenda wakakosa udhamini kabisa kwani mechi ya Mgambo zilikwenda Coaster mbili tu na huenda ya Stand hakuna kabisa iliyoenda.................

Sasa timu hiyo imebaki ukiwa na haina a very strong financial support ambayo ilifanya kucheza kwa kujituma muda wote.........wachezji wengi wamekopwa usajili ..........(ama ilivyo kwa Simba) hamkani si shwari tena.......

Nitakuja tena na upande mwingine wa story
 
Amavubi nilikuwa najiandaa kulala ila kwa hoja zako zisizo za ukweli zimenifanya nikatishe usingizi ili nikujibu hapa.

1.Kwanza awali ya yote niseme wewe Amavubi haupo Mbeya,haujawahi kushuhudia mechi za Mbeya city na wala haujawahi kuona hamasa wanayokuwa nayo mashabiki wake siku ambayo timu hiyo incheza(hii siyo point nzito nzito it is just an introduction)

2.Unasema Mbeya City ilikuwa inaungwa mkona na wananchi,wafanyabiashara na halmashauri:Kwanza nikwambie tu,halmshauri ya jiji la Mbeya ndio mmiliki wa timu hii hivyo lazima waisapoti,wananchi tunaisapoti natutaendelea kuisapoti kwani hii ndio timu yetu sisi wananchi wa mkoa wa Mbeya.Hao unaosema wafanyabiashara nao wanaisapoti kama wananchi wa Mbeya.Timu haijapoteza uungwaji mkono kutoka kwa pande zote hizo tatu labda kama una proof uiweke hapa jukwaani.

3.Unasema upepo ulibadilika ghafla baada ya wanasiasa kupenyeza agenda zao,kwanza hausemi upepo upi uliobadilika,pili wanasiasa hao waliobadili upepo huo ni akina nani?wataje ili tuje na majibu ya hoja zako mufilisi.Upepo ulibadilika ghafla baada ya wanasiasa kupenyeza ajenda zao ambazo zilionekana kuungwa mkono na wanazi wa Mbeya City na hivyo kudhoofisha waliokua na nia njema kabisa ya kuisaidia timu hiyo bila kuegemea mrengo wa siasa>Kwenye nyekundu hapo nimeqoute maneno yako,kwanza umejichanganya mwenyewe,unasema upepo ulibadilika baada ya wanasiasa kupenyeza agenda zao tena unasema ziliungwa mkono na wanazi wa MCC FC,sasa kama ziliungwa mkono hiyo si inakuwa neema kwao?jipange upya mkuu.

4.Wafanyabiashara walihanikizwa kutoisaidia tena timu:ni nani aliyewashinikiza wafanyabiashara hao wassiungemkonao timu?je timu ya Mbeya city inaendeshwa na wafanyabiashara au Halmashauri?Wafanyabiashara wanajitolea wao binafsi na kwa mapenzi yao binafsi na si kama unavyotaka kuuaminisha umma hapa.Mmoja wa wafanyabisha wakubwa tu hapo Mbeya (simtaji kwa jina)ambaye binafsi namfahamu ambaye ni mmoja wa walezi wa timu na mpaka naandika hpa bado yupo kwenye nafasi hiyo na hajaacha kuilea timu hiyo tena hii ni pamoja na wenzake.Hakika hii ni hoja mufilisi kabisa Amavubi.

5.Hahaaa hapa nacheka tu mimi mwenyewe,Amavubi hizi habari umezitoa wapi ndugu yang?eti ahadi ya kununuliwa basi na kujengewa uwanja zimeyeyuka;nani alitoa ahadi ya kuwannunulia MCC fc basi?Mbeya city kupitia Mmiliki wake ambaye ni halmashauri ya jiji ndio walikuwa na mpango wa kununua basi,(hii mipango ilikuja baada ya kupokea milioni mia moja za Azam msimu wa mwaka jana.Katika malengo yake MCC FC haijwahi kusema inataka kujenga uwanja sasa wewe porojo hizi umezitoa wapi?acha kusambaza uongo ndugu.

6.Mashabiki waandamizi ndio mashabiki wa ain gani hao?unajua utaratibu unaotumika kusafirsha mashabiki kwenda kuishangilia timu inapocheza nje ya Mbeya?Mechi ya Stand united mashabiki walikwenda wakutosha tuu MCC FC.jpg Hao ni baadhi ya mashabiki walioenda kuishangilia timu shinyanga sasa leta hoja yingine na sio hii mufilisi.

6.Financially mbeya city wapo vizuri na kila siku wanaingia mikataba minono na makampuni mbalimbali,juzi kati wameingia mkataba na cocacola,wakaingia mkataba na benki ya posta,wanadhaminiwa na Binslum tena kwa pesa ndefu kupitia RB battery sasa hiyo ya kusema financialy hawako fit unaitoa wapi?leta hoja nyingine siyo hii mufilisi.

7.Eti wachezaji wengi wamekopwa usajili,labda nikuulize msimu huu Mbeya city imesajili wachezaji wapya wangapi?halau ukishapata jibu ndio utajua kwamba kwenye hili wewe umekurupuka.

Mwisho niseme tu,wengi wanataka kujitia unabii kuitabiria mabaya mbeya city na kujifanya wanaijua sana hii timu,sasa mkae mkijua kuwa Mbeya city haitapotea na wala haitashuka daraja kama wengi mnavyoiombea.Sisi wana mbeya na mashabiki wa timu yetu ya Mbeya city tutaendelea kuiunga mkono na kamwe hatutasikiliza maeneo yenu.Tunashikilia mkia lakini mkae mkijua tu tutarudi kwenye fomu yetu.

IDUMU MBEYA CITY,WADUMU MASHABIKI WAKE,WADUMU WANA MBEYA,WADUMU WADHAMINI.
TIMU YETU TUNAIPENDA NA DAIMA TUTAKUWA NAYO.
MUNGU IBARIKI MBEYA CITY FC,MUNGU TUBARIKI WANA-MBEYA......AMEN
Mbeya city fc.jpg
 
View attachment 200634
IDUMU MBEYA CITY,WADUMU MASHABIKI WAKE,WADUMU WANA MBEYA,WADUMU WADHAMINI.
TIMU YETU TUNAIPENDA NA DAIMA TUTAKUWA NAYO.
MUNGU IBARIKI MBEYA CITY FC,MUNGU TUBARIKI WANA-MBEYA......AMEN
View attachment 200635

Pamoja sana mkuu, aisee naipenda sana hii timu lakini mwaka huu inanitia majonzi tu, timu haiwezi kubadilika ghafla hivi bila sababu, ebu tuambie tatizo ni nini basi na ni nini kinafanyika kurekebisha hali?

Kama upo karibu na timu, ni lazima mtafute sababu ya hili la timu kushuka kiwango na lifanyiwe kazi.
 
kwanza nikupongeze kwa uchungu ulionao kwa Mbeya City, na pia kujitokeza kuweka hadharani baadhi ya sinofahamu, ila ambacho nimeona kama ilivyo timu yenyewe na wewe bado unaonekana mgeni kidogo katika tasnia ya soka kwa sababu kuna mambo umechangia si kisoka.

yote kwa yote pamoja na nguvu kubwa uliyotumia katika kutetea hoja bado hujafikia lengo la hoja so ukija tena ujipange kuhakikisha uunakata kiu ya wengi ambao kwa kweli kabisa walivutiwa na timu hii jinsi ilivyikuwa inakuja vizuri na napenda pia uelewe mada kama hii ikichokozwa ujue kabisa kwamba naitakia (na wenine wengin tu) mema timu hii na ningependa kero hizi ziondoke Mbeya City irudi na hamasa na uwezo ule wa mwaka jana
Amavubi nilikuwa najiandaa kulala ila kwa hoja zako zisizo za ukweli zimenifanya nikatishe usingizi ili nikujibu hapa.

1.Kwanza awali ya yote niseme wewe Amavubi haupo Mbeya,haujawahi kushuhudia mechi za Mbeya city na wala haujawahi kuona hamasa wanayokuwa nayo mashabiki wake siku ambayo timu hiyo incheza(hii siyo point nzito nzito it is just an introduction)

2.Unasema Mbeya City ilikuwa inaungwa mkona na wananchi,wafanyabiashara na halmashauri:Kwanza nikwambie tu,halmshauri ya jiji la Mbeya ndio mmiliki wa timu hii hivyo lazima waisapoti,wananchi tunaisapoti natutaendelea kuisapoti kwani hii ndio timu yetu sisi wananchi wa mkoa wa Mbeya.Hao unaosema wafanyabiashara nao wanaisapoti kama wananchi wa Mbeya.Timu haijapoteza uungwaji mkono kutoka kwa pande zote hizo tatu labda kama una proof uiweke hapa jukwaani.

3.Unasema upepo ulibadilika ghafla baada ya wanasiasa kupenyeza agenda zao,kwanza hausemi upepo upi uliobadilika,pili wanasiasa hao waliobadili upepo huo ni akina nani?wataje ili tuje na majibu ya hoja zako mufilisi.Upepo ulibadilika ghafla baada ya wanasiasa kupenyeza ajenda zao ambazo zilionekana kuungwa mkono na wanazi wa Mbeya City na hivyo kudhoofisha waliokua na nia njema kabisa ya kuisaidia timu hiyo bila kuegemea mrengo wa siasa>Kwenye nyekundu hapo nimeqoute maneno yako,kwanza umejichanganya mwenyewe,unasema upepo ulibadilika baada ya wanasiasa kupenyeza agenda zao tena unasema ziliungwa mkono na wanazi wa MCC FC,sasa kama ziliungwa mkono hiyo si inakuwa neema kwao?jipange upya mkuu.

4.Wafanyabiashara walihanikizwa kutoisaidia tena timu:ni nani aliyewashinikiza wafanyabiashara hao wassiungemkonao timu?je timu ya Mbeya city inaendeshwa na wafanyabiashara au Halmashauri?Wafanyabiashara wanajitolea wao binafsi na kwa mapenzi yao binafsi na si kama unavyotaka kuuaminisha umma hapa.Mmoja wa wafanyabisha wakubwa tu hapo Mbeya (simtaji kwa jina)ambaye binafsi namfahamu ambaye ni mmoja wa walezi wa timu na mpaka naandika hpa bado yupo kwenye nafasi hiyo na hajaacha kuilea timu hiyo tena hii ni pamoja na wenzake.Hakika hii ni hoja mufilisi kabisa Amavubi.

5.Hahaaa hapa nacheka tu mimi mwenyewe,Amavubi hizi habari umezitoa wapi ndugu yang?eti ahadi ya kununuliwa basi na kujengewa uwanja zimeyeyuka;nani alitoa ahadi ya kuwannunulia MCC fc basi?Mbeya city kupitia Mmiliki wake ambaye ni halmashauri ya jiji ndio walikuwa na mpango wa kununua basi,(hii mipango ilikuja baada ya kupokea milioni mia moja za Azam msimu wa mwaka jana.Katika malengo yake MCC FC haijwahi kusema inataka kujenga uwanja sasa wewe porojo hizi umezitoa wapi?acha kusambaza uongo ndugu.

6.Mashabiki waandamizi ndio mashabiki wa ain gani hao?unajua utaratibu unaotumika kusafirsha mashabiki kwenda kuishangilia timu inapocheza nje ya Mbeya?Mechi ya Stand united mashabiki walikwenda wakutosha tuuView attachment 200634Hao ni baadhi ya mashabiki walioenda kuishangilia timu shinyanga sasa leta hoja yingine na sio hii mufilisi.

6.Financially mbeya city wapo vizuri na kila siku wanaingia mikataba minono na makampuni mbalimbali,juzi kati wameingia mkataba na cocacola,wakaingia mkataba na benki ya posta,wanadhaminiwa na Binslum tena kwa pesa ndefu kupitia RB battery sasa hiyo ya kusema financialy hawako fit unaitoa wapi?leta hoja nyingine siyo hii mufilisi.

7.Eti wachezaji wengi wamekopwa usajili,labda nikuulize msimu huu Mbeya city imesajili wachezaji wapya wangapi?halau ukishapata jibu ndio utajua kwamba kwenye hili wewe umekurupuka.

Mwisho niseme tu,wengi wanataka kujitia unabii kuitabiria mabaya mbeya city na kujifanya wanaijua sana hii timu,sasa mkae mkijua kuwa Mbeya city haitapotea na wala haitashuka daraja kama wengi mnavyoiombea.Sisi wana mbeya na mashabiki wa timu yetu ya Mbeya city tutaendelea kuiunga mkono na kamwe hatutasikiliza maeneo yenu.Tunashikilia mkia lakini mkae mkijua tu tutarudi kwenye fomu yetu.

IDUMU MBEYA CITY,WADUMU MASHABIKI WAKE,WADUMU WANA MBEYA,WADUMU WADHAMINI.
TIMU YETU TUNAIPENDA NA DAIMA TUTAKUWA NAYO.
MUNGU IBARIKI MBEYA CITY FC,MUNGU TUBARIKI WANA-MBEYA......AMEN
View attachment 200635
 
Ni kweli timu inachukua vichapo. Sio kama awali ingawa sijui tatizo hasa ni nini
 
kwanza nikupongeze kwa uchungu ulionao kwa Mbeya City, na pia kujitokeza kuweka hadharani baadhi ya sinofahamu, ila ambacho nimeona kama ilivyo timu yenyewe na wewe bado unaonekana mgeni kidogo katika tasnia ya soka kwa sababu kuna mambo umechangia si kisoka.

yote kwa yote pamoja na nguvu kubwa uliyotumia katika kutetea hoja bado hujafikia lengo la hoja so ukija tena ujipange kuhakikisha uunakata kiu ya wengi ambao kwa kweli kabisa walivutiwa na timu hii jinsi ilivyikuwa inakuja vizuri na napenda pia uelewe mada kama hii ikichokozwa ujue kabisa kwamba naitakia (na wenine wengin tu) mema timu hii na ningependa kero hizi ziondoke Mbeya City irudi na hamasa na uwezo ule wa mwaka jana

inawezekena ukawa kweli una nia nzuri na timu,ila hoja ulizoleta hapa hazina ukweli na ndio vitu kama hivyo huanza kupandikiza watu chuki na kuleta migogoro ndani ya timu.
 
Shikamoo mkuu Nakapanya, nashangaa sana hii hoja. Ukitazama uchezaji wa MCC unagundua kuwa tatizo lao ni la kiufundi zaidi na sio kisiasa wala bla blah. MCC ni tofauti na timu zingine zote za VPL, hawakurupuki katika utendaji wao na ndio maana ni timu pekee yenye mikataba mikubwa ya biashara mitatu hadi sasa. Kama washabiki hamtalitazama hili kwa jicho kubwa mtajikuta mnafarakanishwa na timu yenu iliyoonesha njia kwa maneno mbofumbofu kama haya.
Bado washabiki wana moyo na timu yao, na bado wachezaji na dawati la ufundi wako vyema!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom