Udhamini wa GSM unavyoathiri kiwango cha Taifa Stats

Udhamini wa GSM unavyoathiri kiwango cha Taifa Stats

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
Timu yetu ili iwebora inategemea ubora wawachezaji wa Azam,Simba,Yanga na wachezaji wa nje.

Imeonekana dhairi wachezaji wa Yanga hawana tena mchango timu ya Taifa sababu wanakosa fitness,sababu hawapati upinzani wa ukweli kwenye ligi yetu.

Hii ni hata wachezaji wa kigeni wanaochezea Yanga hawana mchango kwenye timu zao xa Taifa.

Timu zote zinazodhaminiwa na GSM huwa zinacheza na Yanga kukamisha ratiba tu,wachezaji wa yanga hawapti kashkash za maana
 
Hivyo ndivyo mlivyokubaliana wazee wa simba kwamba MUMSHAMBUKIE GSM? Naona ndio ajenda sasa. Mnahamisha mjadala?
 
Kabla ya GSM, timu yenu ya taifa ilipata mafanikio gani?
2) mbona wachezaji wa Simba wa kigeni unaowaona wana fitness hawaonwi na timu zao za taifa? Kuna lundo la wachezaji kibao wa kigeni ila walioitwa ni wachezaji wawili tu uoni hata aibu kuongelea wachezaji wa kigeni wa Yanga wanaopata nafasi ya kuitwa kwenye timu zao?
 
Timu yetu ili iwebora inategemea ubora wawachezaji wa Azam,Simba,Yanga na wachezaji wa nje.

Imeonekana dhairi wachezaji wa Yanga hawana tena mchango timu ya Taifa sababu wanakosa fitness,sababu hawapati upinzani wa ukweli kwenye ligi yetu.

Hii ni hata wachezaji wa kigeni wanaochezea Yanga hawana mchango kwenye timu zao xa Taifa.

Timu zote zinazodhaminiwa na GSM huwa zinacheza na Yanga kukamisha ratiba tu,wachezaji wa yanga hawapti kashkash za maana
Kabla ya GSM taifa Stars ilikuwaje? Ilipata mafaniko gani?

Una uhakika yakitolewa magoli na assists za wachezaji wa yanga, hata kwenye hatua hii taifa Stars ingekuwepo?

Ni kweli Bacca, Dickson job, Mudathir, Mzize, Diara, Aucho, Musonda, Aziz ki hawana mchango kwenye timu zao za taifa

Kama Hawachezi mechi za ushindani, simba alifungwaje mara 3 mfululizo

Timu isiyo ya ushindani imewezaje kuifunga Mazembe mechi 3 kati ya 4?

Timu isiyo na ushindani imewezaje kuwatoa jasho Mamelody?

NB
PENDA MPIRA SIO TIMU

HATA KAMA HUNA AKILI JITAHIDI KUFICHA WATU WASIJUE KUWA HUNA AKILI
 
Tupe takwimu za miaka ya Nyuma kabla GSM hajaanza kuidhamini Yanga na hizo timu nyingine,Je timu yetu ya Taifa ilifanya makubwa yapi?

Je,ilifuzu kombe la Dunia,Je iliwahi kuchukua ubingwa wa AFRIKA?


Hebu tupe takwimu!
 
Tunaomba takwimu kati ya Simba, Yanga na Azam ni wachezaji wangapi wameitwa kwenye timu zao za Taifa na mchango wao kwa hizo timu zao za Taifa
 
Timu yetu ili iwebora inategemea ubora wawachezaji wa Azam,Simba,Yanga na wachezaji wa nje.

Imeonekana dhairi wachezaji wa Yanga hawana tena mchango timu ya Taifa sababu wanakosa fitness,sababu hawapati upinzani wa ukweli kwenye ligi yetu.

Hii ni hata wachezaji wa kigeni wanaochezea Yanga hawana mchango kwenye timu zao xa Taifa.

Timu zote zinazodhaminiwa na GSM huwa zinacheza na Yanga kukamisha ratiba tu,wachezaji wa yanga hawapti kashkash za maana
Pumba.
 
Timu yetu ili iwebora inategemea ubora wawachezaji wa Azam,Simba,Yanga na wachezaji wa nje.

Imeonekana dhairi wachezaji wa Yanga hawana tena mchango timu ya Taifa sababu wanakosa fitness,sababu hawapati upinzani wa ukweli kwenye ligi yetu.

Hii ni hata wachezaji wa kigeni wanaochezea Yanga hawana mchango kwenye timu zao xa Taifa.

Timu zote zinazodhaminiwa na GSM huwa zinacheza na Yanga kukamisha ratiba tu,wachezaji wa yanga hawapti kashkash za maana
Umeandika mashudu tu hapa! 🚮
 
Tunaomba takwimu kati ya Simba, Yanga na Azam ni wachezaji wangapi wameitwa kwenye timu zao za Taifa na mchango wao kwa hizo timu zao za Taifa
Wameita majina ila kiwango hakuna
 
Siku nyingine ya kolo wizardous anaamka hajui adanye nini anaamua tu kumpa airtime role model wake. Hongera ndugu always Rage aliona mbali sana
 
TFF ya karia wametoa kibali cha Timu kusajiri na kutumia idadi kubwa ya wachezaji ninyi wasaka nyoka mpo busy na GSM..
 
Yaani Mohamedi Husseni na Kapombe, Kibu wako fit kuliko Job, Bacca na Mzize?

Ndugu yangu mchana unauita usiku na usiku kwako ni mchana!
 
Back
Top Bottom