Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Hii kali kwa hiyo shida ni mkwanja sio UONEVU wa kidini........hawajakatazwa kuchukua mikwanja. Wote wataandikisha wale watakao penda. Wenyewe wamesema na wao hatajiandikisha. Tehe! Tehe!
hili swali linatoka kwenye kichwa chenye ubongo kama wa jogoo aliyeliwa kwenye pilau leo.
Gomeni ili siku ya mapumziko iwe ijumaa na alihamisi. . . Gomeni kupumzika jpili, nendeni kazini kama kawa, then ijumaa mnakuwa hamuendi.
This is the best answer indeed. Wakristo wanapumzika kwa sababu ni maagizo kwao na waislamu wanaendelea na kazi kwa sababu dini yao inawaagiza hivyo. Yaani huyo jamaa anataka pia "usawa" katika hili? Haiwezekani. Hebu aishauri Serikali ifanyeje tofauti na ilivyo bila kuathiri dini mojawapo?
Ritz mkuu
Nan alipanga siku ya ijumaa kuwa ya kazi?
Kama nitakosea nisahihishe japokuwa sitarajii.
Siku ya kuabudu wakristo katika biblia wanaambiwa wasifanye kazi wapumzike kwa maana ya kuomba tu.
Hebu tuambie kwa mujibu wa mafudisho ya mtume SAW, au kutoka kitabu kitukufu cha koraan, baada ya swala tunatakiwa kupumzika au kuenda kufanya kazi na kutafuta rizki?
Ni hayo mkuu wangu Ritz.
Kwa sababu ni siku ya ibada.
hili swali linatoka kwenye kichwa chenye ubongo kama wa jogoo aliyeliwa kwenye pilau leo.
Gomeni ili siku ya mapumziko iwe ijumaa na alihamisi. . . Gomeni kupumzika jpili, nendeni kazini kama kawa, then ijumaa mnakuwa hamuendi.
Katika hali isiyokua ya kawaida baadhi ya watendaji wa serikali wamewalazimisha waaislam kuhudhuria semina za sensa na uku wakijua ni sikukuu kwao na pia niwajibu ktk imani yao kuhudhuria ibada ya idd ktk misikiti yao...Haya ndo mambo wenzetu waaislam wanaona hawatendewi haki ktk nchi yao, vipi ingekua ni pasaka au X-MASS je isingekua ni mapunziko kwa wote? serikali ni lazima iwachukulie hatua watendaji wote waliojifanya hawajui nini kinachoendelea la sivyo NIGERIA like is very close to our country
Mtu akiwa mtupu anaweza kununua nguo zingine, lakini mtu anapokuwa uchi kiakili hakuna maarifa ya kumuongoza zaidi ya kumuombea kwa mungu.
Wapi nimesema waislam wanataka Ijumaa iwe siku ya mapumziko, wala waislam hawaitaji kupewa siku ya mapumzika katika wiki..
Jibu swali nani aliyepanga jumapili iwe siku ya mapumzika kitaifa na kwa nini iwe jumapili.
Mtu akiwa mtupu anaweza kununua nguo zingine, lakini mtu anapokuwa uchi kiakili hakuna maarifa ya kumuongoza zaidi ya kumuombea kwa mungu.
Wapi nimesema waislam wanataka Ijumaa iwe siku ya mapumziko, wala waislam hawaitaji kupewa siku ya mapumzika katika wiki..
Jibu swali nani aliyepanga jumapili iwe siku ya mapumzika kitaifa na kwa nini iwe jumapili.
Mkuu Ritz
Wastaarabu hushidana na kudebate kwa hoja. Masuala kutembea uchi... Sijui akili zimefanyaje hayana msingi tuendele majadiliano kwa aman tuu.
Turudi kwenye mjadala.
1. Hoja inahusu kuzalilishwa waislam (watanzania) kwa kufanya kazi siku ya sikuku ya idd.
Jana nilikuuliza maswali hukuyajibu.
1. Sijui mkata wa mawakala wa sensa unasemaje kuhusiana na sikukuu?
2. Walodhalilishwa ni watanzani sio waislam peke yao. Unawasemeaje wakristu ambao walihuzuria na ilikuwa jumapili?
2. Kwa kutaka kujua nan alipanga jumapili kuwa hiv na nan alipanga ijumaa kuwa vile jibu naswali yangu ya jana kisha tuendelee na mjadala.
Mkuu adolay,
Hujue maswali ya kipuuzi uwa yanajibiwa na majibu ya hivyo kuna member nimemjibu, soma alivyonijibu nadhani utajua kwa nini nimemjibu hivyo.
Mkuu kwenye suala la sensa hakuna udhalilishaji wowote uliofanywa sababu kubwa iliyowapeleka ni maslahi ya binafsi pamoja na posho hata wakiristo nao wamekwenda kwa sababu za kimaslahi binafsi posho, ndio maana unaona wote hawajalalamika.
Nadhani nimekujibu swali lako mkuu, na wewe nijibu swali langu nani aliyepanga jumapili iwe siku ya mapumziko na kwa nini alichagua jumapili.
Mkuu Rtz
Muungwana ni vitendo, napenda kuwa muungwana pia, nakukujibu kwa ufupi kabisa kwamba hata mimi SIFAHAM.
Sasa tunafanyaje kujuwa walopanga? Ni home work.
Kwa kawaida udadisi wowote huanza kwa nadhalia, kitu gani hasa kilikusukuma kufikia kwenye swali hilo?
serikali inaheshimu dini za watu lakini yenyewe haindeshwi kwa mising ya dini. wakati wa kuanza semina watu walipewa mashariti. kama mtu alikubali malalamiko ya nini hapa? kwani wamesikia kuwa viongozi wa sensa ni wanawakilisha dini au dhehebu fulani?Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
Tunaomba siku za mapumziko tena zenye mwelekeo wa ibada ziheshimiwe. Kuna tatizo lingine pia miaka yote siku ya kupiga kura kumchagua rais inakuwa Jumapili kama sijakosea hili nalo liangaliwe.
Katika hali isiyokua ya kawaida baadhi ya watendaji wa serikali wamewalazimisha waaislam kuhudhuria semina za sensa na uku wakijua ni sikukuu kwao na pia niwajibu ktk imani yao kuhudhuria ibada ya idd ktk misikiti yao...Haya ndo mambo wenzetu waaislam wanaona hawatendewi haki ktk nchi yao, vipi ingekua ni pasaka au X-MASS je isingekua ni mapunziko kwa wote? serikali ni lazima iwachukulie hatua watendaji wote waliojifanya hawajui nini kinachoendelea la sivyo NIGERIA like is very close to our country