Udhalilishaji vyuo vikuu


Pole, ulimuona HoD? ??!!
Dean au Principal??!!
Uliandika barua au ulifuatilia kwa maneno tu na yeye anakujibu basi????

Kama ulimaliza mwaka na somo halina matokeo boards zote za matokeo hazikuona??!!
Kama ni kweli basi pameoza hapo!!

Huwezi taja chuo wala idara ili wenzako wapone saabu ukiwataja hapa wataamka na kujimilika!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…