Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,209
Hodi katika jamvi ni matumaini yangu ku mmeamka salama jana usiku katika wilaya Makete Mkoa wa Njombe. Askari walikuwa wakipita katika nyumba za kulala wageni na kukamata wageni waliokuwa wamelala katika nyumba hizo.
Sababu iliyotolewa ni kuwa hawakujiandikisha kwenye daftari la wageni na hivyo kulazimika watu wengi walikamatwa na kulazimika kulala ndani hata kama walikuwa na vielelezo.
Ndugu zangu kwa kweli mambo haya ni udhalilishaji mkubwa na kusababisha chuki kati jeshi la na wananchi. Sipingi kufanya ukaguzi katika nyumba za kulala wageni lakini ni muhimu haki za binadamu zikazingatiwa
Naomba vyombo husika vikaliangalia jambo hili kwa jicho la busara na ubinadamu kwa mjibu wa wakazi wa Makete zoezi hili la kamata kamata limekuwa likifanyika mara kwa mara.
Sababu iliyotolewa ni kuwa hawakujiandikisha kwenye daftari la wageni na hivyo kulazimika watu wengi walikamatwa na kulazimika kulala ndani hata kama walikuwa na vielelezo.
Ndugu zangu kwa kweli mambo haya ni udhalilishaji mkubwa na kusababisha chuki kati jeshi la na wananchi. Sipingi kufanya ukaguzi katika nyumba za kulala wageni lakini ni muhimu haki za binadamu zikazingatiwa
Naomba vyombo husika vikaliangalia jambo hili kwa jicho la busara na ubinadamu kwa mjibu wa wakazi wa Makete zoezi hili la kamata kamata limekuwa likifanyika mara kwa mara.