salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 653
Imeandikwa ombeni mtapewa ile kutabasamu au kutoa chochote hata kama hakina thamani ni ishara tu kwamba mhusika yuko serious na maombi yake na hilo tu ndilo muhimu na wala sio thamani ya kile kinachotolewa. Mila zetu zilipiga sana pini mianya ya wanawake kutokeza kwenye anga zinazoweza kumfanya afikishiwe ombi ndio maana ndoa zilikuwa salama kwa asilimia tisini. Ilikuwa si ruksa msichana kusimama na mwanaume au kuwasiliana naye kwa njia yoyote kama sio ndugu wa karibu na kina mama husindikizana na kutembea kwa makundi wasisogelewe na wazengeaji; sasa mfumo wa kifreemason uliyoletwa na wamagharibi kumfungulia mwanamke mtaani kama bomba la maji ndo wanakutana na mkenge wa aombaye hupewa na hakuna nguvu ya kukwepa hilo ni kweli ya uumbaji.Udhaifu wa wanawake hasa walio kwenye ndoa wa kupenda vitu vya cheee na kuwapelekea kutoka nje ya ndoa yake, kisa msaada wa Konda kutomtoza nauli ya Mzigo, Kisa mkaa wa Nyongeza wa muuza mkaa jambo hili latokea mtaani kwetu na kujiuliza ni udhaifu ama kulipa fadhila.