mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,476
- 21,042
Udhaifu wake wa kuongea(public speaking) ,kutoka speech zenye mvuto mbaya zaidi kutokua genuine ( uhalisia) wa kile anachokizungumza na kukiahidi nachelea kusema mbowe nenda ukamuombe radhi Dr slaa aokowe jahazi.
Lowasa ni dhaifu,ni muongo sura yake na anachokizungumza haviendani huu ni uthibitisho tosha deal la Richmond alilipiga na nia yake kwa watanzia sio nzuri.
Sikufikiria hata siku moja kuipigia CCM kura kwenye urais ila Leo hii Edward Lowasa akiwa viwanja vya jangwani amenishawishi kufanya hivyo
Lowasa ni dhaifu,ni muongo sura yake na anachokizungumza haviendani huu ni uthibitisho tosha deal la Richmond alilipiga na nia yake kwa watanzia sio nzuri.
Sikufikiria hata siku moja kuipigia CCM kura kwenye urais ila Leo hii Edward Lowasa akiwa viwanja vya jangwani amenishawishi kufanya hivyo