NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,138
Hivi kumbe issue ya kutaja Mali ilikuwa ni kwa Viongozi wote na si Ayatolllah peke yake!!!
Hakuna mwnye hati miliki ya siasa za nchi hii.
Zitoo hamkumtaka wachaga katoka na kaanzisha chama chake.
Sasa shida yenu nin wachaga??
Hamna dogo??
Kama ni kukiua hiko chama mmekiua wenyewe.