carson lee
Member
- Jul 4, 2020
- 10
- 7
Jamani ninaomba maoni yenu na mchango wenu kuhusu Udereva wa serikalini kama unalipa na kama ajira zake zinaweza kupatikana
Asante
Asante
Tafadhari, Ebu fafanua kiongozi!unalipa sana...ila tu isiwe halmashauri
ubovu wa magari... nadhani...Tafadhari, Ebu fafanua kiongozi!
Minimum unafanya safari mara ngapi kwa mwezi mkuu?Binafsi mimi ni dereva ingawa title yangu job sio driver.
Out of salary ninapata karibu million moja kila mwezi kwaajili ya visafari vya Dodoma -Dar na kwingineko.
Kuhusu salary: Dereva wa serikali anaanza na TGS B kwa sasa. Ila kuna taasisi unalipwa kwa scale nzuri kiasi kwamba Engineer wa TGS E hakupati.
Mkuu hivi hizi scale nikitaka kufahamu ufafanuzi wake naweza kupata wapi mkuu.Binafsi mimi ni dereva ingawa title yangu job sio driver.
Out of salary ninapata karibu million moja kila mwezi kwaajili ya visafari vya Dodoma -Dar na kwingineko.
Kuhusu salary: Dereva wa serikali anaanza na TGS B kwa sasa. Ila kuna taasisi unalipwa kwa scale nzuri kiasi kwamba Engineer wa TGS E hakupati.
2-5 per month
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako umenipamoyoBinafsi mimi ni dereva ingawa title yangu job sio driver.
Out of salary ninapata karibu million moja kila mwezi kwaajili ya visafari vya Dodoma -Dar na kwingineko.
Kuhusu salary: Dereva wa serikali anaanza na TGS B kwa sasa. Ila kuna taasisi unalipwa kwa scale nzuri kiasi kwamba Engineer wa TGS E hakupati.
Kuna Uzi humu unaongelea hizi scale. Ila ukiweka specific scale unaweza kujibiwa directMkuu hivi hizi scale nikitaka kufahamu ufafanuzi wake naweza kupata wapi mkuu.
Mfano hyo scale ya engineer??
OkKuna Uzi humu unaongelea hizi scale. Ila ukiweka specific scale unaweza kujibiwa direct
Engineer kama ndo anaanza kazi ni laki tisa na kitu kidogo kwa taasisi zinazolipa kwa mfumo wa malipo ya serikali kuu. Ila kwa mashirika na baadhi ya taasisi ni differ . Unaweza kulipwa 900' s- 3000'sMkuu hivi hizi scale nikitaka kufahamu ufafanuzi wake naweza kupata wapi mkuu.
Mfano hyo scale ya engineer??
Kila kazi inalipa inategemea akili yako tu.Jamani ninaomba maoni yenu na mchango wenu kuhusu Udereva wa serikalini kama unalipa na kama ajira zake zinaweza kupatikana
Asante
poa poa mkuu.Engineer anaanza ni laki tisa na kitu kidogo kwa taasisi zinazolipa kwa mfumo wa malipo ya serikali kuu. Ila kwa mashirika na baadhi ya taasisi ni differ . Unaweza kulipwa 900' s- 3000's
Dahh kweli kbsa mkuu ila ishu ipo kwenye kupata ajira tu hapoUkiwa dereva wa bosi anayesafiri mara kwa mara unakula per diem za kutosha, hapo bado bakishishi ya mafuta na marekebisho ya hapa na pale (sio ya TEMESA)

Temesa vipi , uliwahi kuwa mtumishi wao?Ukiwa dereva wa bosi anayesafiri mara kwa mara unakula per diem za kutosha, hapo bado bakishishi ya mafuta na marekebisho ya hapa na pale (sio ya TEMESA)
magari ya serikali yanafanyiwa matengenezo na TEMESA. hapo nadhani utanielewaTemesa vipi , uliwahi kuwa mtumishi wao?