Udahili wa Vyuo kwa mwaka 2020/2021

KANYEGELO

JF-Expert Member
Nov 12, 2019
2,150
4,753
Wanajamvi habarini za asubuhi,

Naomba niende kwenye maada moja moja kwa udahiri umefunguliwa kuanzia tarehe 15 /01/2020 kwa baadhi ya vyuo kwa ngazi ya cheti/Diploma kwa baadhi ya vyuo

Udahili unahusisha baadhi tu ya vyuo vya serikali hamna na utafungwa tarehe 20/02/2020

Na kufunguliwa tena udahili mwingine. Kwa mwenye uzoefu udahili wa chuo cha ADEM HUWA UNAANZA MWEZI WA NGAPI?

sent from toyota Allex
 
Udahili kwa mwaka wa masomo 2020/2021 nadhani hadi mwezi wa June.. Huu wa intake hii ya March unafahamika kama wa 2019/2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…