Wanajamvi habarini za asubuhi,
Naomba niende kwenye maada moja moja kwa udahiri umefunguliwa kuanzia tarehe 15 /01/2020 kwa baadhi ya vyuo kwa ngazi ya cheti/Diploma kwa baadhi ya vyuo
Udahili unahusisha baadhi tu ya vyuo vya serikali hamna na utafungwa tarehe 20/02/2020
Na kufunguliwa tena udahili mwingine. Kwa mwenye uzoefu udahili wa chuo cha ADEM HUWA UNAANZA MWEZI WA NGAPI?
sent from toyota Allex