KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,113
- 4,714
Wanajamvi habarini za asubuhi,
Naomba niende kwenye maada moja moja kwa udahiri umefunguliwa kuanzia tarehe 15 /01/2020 kwa baadhi ya vyuo kwa ngazi ya cheti/Diploma kwa baadhi ya vyuo
Udahili unahusisha baadhi tu ya vyuo vya serikali hamna na utafungwa tarehe 20/02/2020
Na kufunguliwa tena udahili mwingine. Kwa mwenye uzoefu udahili wa chuo cha ADEM HUWA UNAANZA MWEZI WA NGAPI?
sent from toyota Allex
Naomba niende kwenye maada moja moja kwa udahiri umefunguliwa kuanzia tarehe 15 /01/2020 kwa baadhi ya vyuo kwa ngazi ya cheti/Diploma kwa baadhi ya vyuo
Udahili unahusisha baadhi tu ya vyuo vya serikali hamna na utafungwa tarehe 20/02/2020
Na kufunguliwa tena udahili mwingine. Kwa mwenye uzoefu udahili wa chuo cha ADEM HUWA UNAANZA MWEZI WA NGAPI?
sent from toyota Allex