Udahili UDSM tayari umefunguliwa

Udahili UDSM tayari umefunguliwa

Karibuni kwenye tanuru la elimu UD... Kama wewe ni kilaza au ulifaulu kwa bahati bahati, UDSM panaweza pasiwe mahali salama sana kwako...

Ni bora uende Mzumbe au IFM au vyuo vingine ambavyo vina system ya kurudia mwaka. UD hakuna system hiyo. Wakikula kichwa unakwenda na maji...
Acha mambo ya kisengerema,kwa hiyo unapadharau mzumbe??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom