Udahili UDSM umefunguliwa. Fuata maelekezo kwenye website yao www.udsm.ac.tz
Best wishes kwa vijana wetu
Best wishes kwa vijana wetu
Acha utoto bwana. Unaanza league za kishamba.Karibuni kwenye tanuru la elimu UD... Kama wewe ni kilaza au ulifaulu kwa bahati bahati, UDSM panaweza pasiwe mahali salama sana kwako...
Ni bora uende Mzumbe au IFM au vyuo vingine ambavyo vina system ya kurudia mwaka. UD hakuna system hiyo. Wakikula kichwa unakwenda na maji...
Hii sio league. Ninawapa fact. UD ukishindwa kufikisha GPA ya 1.8 unakuwa discountiued, ila hivyo vyuo vingine unapewa option ya kurudia mwaka. Huu ushauri nimeutoa kwa wale ambao wanajitambua wana uwezo mdogo wa darasani...Acha utoto bwana. Unaanza league za kishamba.
kuna baadh ya kozi,ila kwa kozii yako nahc hata 3 ya mwsho ntasomaKaribuni kwenye tanuru la elimu UD... Kama wewe ni kilaza au ulifaulu kwa bahati bahati, UDSM panaweza pasiwe mahali salama sana kwako...
Ni bora uende Mzumbe au IFM au vyuo vingine ambavyo vina system ya kurudia mwaka. UD hakuna system hiyo. Wakikula kichwa unakwenda na maji...
udsm.admission.ac.tz
Unataka akasomee wapi saUdsm ilikuwa zamani kwa sasa siwezi kumshauri ndugu yangu kuomba akasomee udsm.
Wale wale wa zamani ndo bado wapo Udsm. Na rank imebaki ile ile ya chuoUdsm ilikuwa zamani kwa sasa siwezi kumshauri ndugu yangu kuomba akasomee udsm.
Acha uongo wakati kuna wadada wa sheria kama wawatatu hivi nawajua walirudia mwaka hapo chuoni...acha kutisha watuKaribuni kwenye tanuru la elimu UD... Kama wewe ni kilaza au ulifaulu kwa bahati bahati, UDSM panaweza pasiwe mahali salama sana kwako...
Ni bora uende Mzumbe au IFM au vyuo vingine ambavyo vina system ya kurudia mwaka. UD hakuna system hiyo. Wakikula kichwa unakwenda na maji...
Labda waliahirisha mwaka. Ila kurudia kwa UD, there is no such a thing...Acha uongo wakati kuna wadada wa sheria kama wawatatu hivi nawajua walirudia mwaka hapo chuoni...acha kutisha watu
Acha uongo sio UD pekeeeHii sio league. Ninawapa fact. UD ukishindwa kufikisha GPA ya 1.8 unakuwa discountiued, ila hivyo vyuo vingine unapewa option ya kurudia mwaka. Huu ushauri nimeutoa kwa wale ambao wanajitambua wana uwezo mdogo wa darasani...
Bora usilipe kwanza kuna mautapeli yameshafanyikaNaaply system inazingua kwenye malipo wameelekeza unaweza lipa kwa mpesa tigo pesa au bank sasa nataka kulipa kwa tigopesa inasema niattach bank slip.
eeeeh watu wamekamata fursa