Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Baada ya kusubiri kwa hamu mambo yamekuwa magumu. UDOM na SUA ndio nimeona wametuwekea ni program gani zina nafasi na nafasi ngapi, Wengine hadi sasa hawajaweka kitu na wengine wametaja program tu bila kuweka wazi nafasi ni ngapi.
Hivyo naona tutaomba awamu hii tukiwa gizani. Lakini pia vyuo vingi vimejaa, niliangalia TIA course ya watu 250 wamesha admit 300+ na bado kuna wenye multiple selection na hiyo ni round ya pili.
Hivyo naona tutaomba awamu hii tukiwa gizani. Lakini pia vyuo vingi vimejaa, niliangalia TIA course ya watu 250 wamesha admit 300+ na bado kuna wenye multiple selection na hiyo ni round ya pili.