JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,521
- 7,568
Kana kwamba maisha ni nafuu sana maumivu mengine yanaongezwa. Baada ya kulipa nauli ya kukufikisha Makumbusho sasa inabidi utafute nauli nyingine ya kukufikisha Mwenge au utembee tu. Yaleyale ya Mnazi Mmoja Kivukoni. Kisha utasikia UDA wamepewa ruti hiyo. Safari ndefu hawaendi ila fupifupi za kupiga pesa fasta ndio wanazoenda. Tutaumia sana tunaotegemea daladala!