GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,869
Zinasema Kwamba Kinachochelewesha Kamati MAALUM Ya Kuchunguza Upangaji Matokeo Wa Mechi Za Geita FC Dhidi Ya FC Kanembwa Kule Kigoma Na Ya Police Tabora Dhidi Ya JKT Orjoro Mkoani Tabora Kutoa MAAMUZI Juu Ya Nani Ndiyo Anastahili KUWAJIBISHWA Juu Ya KASHFA HII KUBWA Ni Kama Zifuatazo:
Kwa TAARIFA Za Ndani Kabisa Ambazo Nimezipata Kutoka Kwa Watu Wa Karibu Na Ambao Hata Wao WAMEITWA KUHOJIWA Na Kamati Hiyo Ni Kwamba Timu ( TAJIRI ) Ndiyo KIKWAZO Na CHANZO Cha Yote Haya Kwa Kile Kinachoelezwa Kwamba Wakati Shirikisho La Soka La Tanzania Lilipotumbuliwa JIPU Na TRA Miezi Kadhaa Tu Iliyopita Hali Iliyopelekea TFF Kukosa Hata Pesa Za Kununua Maji Ya Kunywa Pale OFISINI Ilibidi Kiongozi Wake Mmoja Mkubwa Tu Akimbilie Kwa Rafiki Yake Aliyepo Katika Hiyo Timu ( TAJIRI ) Kuomba MSAADA Wa Pesa Na Kweli Walipewa Hizo FEDHA Ambazo Kiukweli Ndizo Ziliweza Kuendesha Operations Zote Za TFF Ila Kwa SHARTI Moja Kuu Kuwa Na Wao TFF Wahakikishe Kuwa Timu ( TAJIRI ) INAPANDA Daraja Na Kupanda Ligi Kuu.
NINI KILITOKEA WAKATI WA MAHOJIANO YA WAHUSIKA?
Mara Baada Ya WAHUSIKA WA HIVYO Vilabu Kuitwa Kwa MAHOJIANO Inasemekana Kuna Watu WAWILI Ambao Wao HAWAKUTAKA KUPOTEZA Muda Katika Kuhojiwa Na Badala Yake Walipoingia Tu Ndani Ya Chumba Cha MAHOJIANO Waliweka Sauti Za Hao Viongozi Wawili Wakuu Walizorekodi MAWASILIANO Yao Ya Wiki Moja Kabla Ya Hizo Mechi, Siku Ya Mechi Na Baada Ya Mechi Kitu Ambacho Kilipelekea Wale Wana KAMATI KUHAMAKI Na KUTOAMINI Kwani Moja Ya Sauti Ya Mmoja Wa Huyo KIONGOZI Ndiyo Ya Huyo Huyo Aliyewapa JUKUMU La KUCHUNGUZA.
HITIMISHO.
Kwa TAARIFA Nilizonazo Ni Kwamba TAYARI Kamati IMESHAKUJA Na MAAMUZI Mazito Ambayo Bado Tu KUTANGAZWA Kwake Lakini KINACHOFANYA WASITANGAZE Ni Mkwara Mzito Uliotolewa Na Timu ( TAJIRI ) Kuwa KAMA WATAHUKUMIWA Na KUSHUSHWA Daraja Basi Na Wao Pia WATAMWAGA KILA KITU HADHARANI Ili Soka La Bongo LIHARIBIKE Na Kama Mbwai Na Iwe Mbwai. Viongozi Wa TFF Na Wa Hiyo KAMATI Ya Akina Tarimba Abbas Tarimba Sasa WANAKUNA VICHWA Huku WAKIHAHA Kujua Nini Cha Kufanya.
Huko NYUMA Kuna KIONGOZI Mmoja Mkubwa Tu Wa TFF Alisikika Redioni Hadi Katika Tv KUISHUTUMU JF Huku AKIFOKA Labda Akidhani Kuwa WATANZANIA Wote Ni WAPUUZI Ila Ukimya Wetu Katika Kumjibu Mwenyezi Mungu Sasa Anaujibu Na Muda Si Mrefu Anakwenda KUUMBUKA Na Ndipo Atajua Kuwa TAARIFA Zikitoka Humu JF Huwa HATUKURUPUKI Na Asidhani Labda Watu Tunakuja Humu JF Kupoteza Tu Muda Bali Tuna UCHUNGU Na UPUUZI Wake Anaoufanya Huku Soka Letu Likizidi Tu KUDIDIMIA Kila Kukicha Na Asisahau Kuwa Na Sisi Tuna VYANZO Vyetu Ambavyo Vingine Hata Yeye Huwa ANAKUNYWA Navyo Chai, Chakula Na Kufanya Nao Mengineyo.
MWISHO NASEMA NITAITETEA NCHI YANGU NA UDHALIMU WOWOTE KWA KUTUMIA UWEZO WANGU AU JITIHADA ZANGU ZA KITAALUMA NA KIUELEDI HATA KAMA IKIBIDI KUTOA UHAI WANGU ILI VIZAZI VIJAVYO VISIKUTE UPUUZI HUU NA HATIMAYE SOKA LA TANZANIA LIPIGE HATUA Nimemaliza.
- Viongozi Wawili Wa Juu Na Waandamizi WAMEHUSIKA Moja Kwa Moja 99.99%.
- Mwenyekiti Wa Kamati Tarimba Abbas Tarimba Sasa Anatishiwa Na Wahusika.
- Ukweli Ukijulikana Tu Utawafukuza Wadhamini Wote Wakubwa Wa Soka Letu.
Kwa TAARIFA Za Ndani Kabisa Ambazo Nimezipata Kutoka Kwa Watu Wa Karibu Na Ambao Hata Wao WAMEITWA KUHOJIWA Na Kamati Hiyo Ni Kwamba Timu ( TAJIRI ) Ndiyo KIKWAZO Na CHANZO Cha Yote Haya Kwa Kile Kinachoelezwa Kwamba Wakati Shirikisho La Soka La Tanzania Lilipotumbuliwa JIPU Na TRA Miezi Kadhaa Tu Iliyopita Hali Iliyopelekea TFF Kukosa Hata Pesa Za Kununua Maji Ya Kunywa Pale OFISINI Ilibidi Kiongozi Wake Mmoja Mkubwa Tu Akimbilie Kwa Rafiki Yake Aliyepo Katika Hiyo Timu ( TAJIRI ) Kuomba MSAADA Wa Pesa Na Kweli Walipewa Hizo FEDHA Ambazo Kiukweli Ndizo Ziliweza Kuendesha Operations Zote Za TFF Ila Kwa SHARTI Moja Kuu Kuwa Na Wao TFF Wahakikishe Kuwa Timu ( TAJIRI ) INAPANDA Daraja Na Kupanda Ligi Kuu.
NINI KILITOKEA WAKATI WA MAHOJIANO YA WAHUSIKA?
Mara Baada Ya WAHUSIKA WA HIVYO Vilabu Kuitwa Kwa MAHOJIANO Inasemekana Kuna Watu WAWILI Ambao Wao HAWAKUTAKA KUPOTEZA Muda Katika Kuhojiwa Na Badala Yake Walipoingia Tu Ndani Ya Chumba Cha MAHOJIANO Waliweka Sauti Za Hao Viongozi Wawili Wakuu Walizorekodi MAWASILIANO Yao Ya Wiki Moja Kabla Ya Hizo Mechi, Siku Ya Mechi Na Baada Ya Mechi Kitu Ambacho Kilipelekea Wale Wana KAMATI KUHAMAKI Na KUTOAMINI Kwani Moja Ya Sauti Ya Mmoja Wa Huyo KIONGOZI Ndiyo Ya Huyo Huyo Aliyewapa JUKUMU La KUCHUNGUZA.
HITIMISHO.
Kwa TAARIFA Nilizonazo Ni Kwamba TAYARI Kamati IMESHAKUJA Na MAAMUZI Mazito Ambayo Bado Tu KUTANGAZWA Kwake Lakini KINACHOFANYA WASITANGAZE Ni Mkwara Mzito Uliotolewa Na Timu ( TAJIRI ) Kuwa KAMA WATAHUKUMIWA Na KUSHUSHWA Daraja Basi Na Wao Pia WATAMWAGA KILA KITU HADHARANI Ili Soka La Bongo LIHARIBIKE Na Kama Mbwai Na Iwe Mbwai. Viongozi Wa TFF Na Wa Hiyo KAMATI Ya Akina Tarimba Abbas Tarimba Sasa WANAKUNA VICHWA Huku WAKIHAHA Kujua Nini Cha Kufanya.
Huko NYUMA Kuna KIONGOZI Mmoja Mkubwa Tu Wa TFF Alisikika Redioni Hadi Katika Tv KUISHUTUMU JF Huku AKIFOKA Labda Akidhani Kuwa WATANZANIA Wote Ni WAPUUZI Ila Ukimya Wetu Katika Kumjibu Mwenyezi Mungu Sasa Anaujibu Na Muda Si Mrefu Anakwenda KUUMBUKA Na Ndipo Atajua Kuwa TAARIFA Zikitoka Humu JF Huwa HATUKURUPUKI Na Asidhani Labda Watu Tunakuja Humu JF Kupoteza Tu Muda Bali Tuna UCHUNGU Na UPUUZI Wake Anaoufanya Huku Soka Letu Likizidi Tu KUDIDIMIA Kila Kukicha Na Asisahau Kuwa Na Sisi Tuna VYANZO Vyetu Ambavyo Vingine Hata Yeye Huwa ANAKUNYWA Navyo Chai, Chakula Na Kufanya Nao Mengineyo.
MWISHO NASEMA NITAITETEA NCHI YANGU NA UDHALIMU WOWOTE KWA KUTUMIA UWEZO WANGU AU JITIHADA ZANGU ZA KITAALUMA NA KIUELEDI HATA KAMA IKIBIDI KUTOA UHAI WANGU ILI VIZAZI VIJAVYO VISIKUTE UPUUZI HUU NA HATIMAYE SOKA LA TANZANIA LIPIGE HATUA Nimemaliza.