Uchumi wa Viwanda na Uchumi wa Kilimo; Vitu viwili Visivyotenganishwa kamwe!

Fyafyafya

Member
Nov 30, 2017
53
187
Kwa hakika hakuna Mtanzania hata mmoja ambae hamuungi mkono Mh. Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli kwenye hii azma yake ya kutaka nchi iwe na uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda.

Raisi wetu mpendwa toka aingie madarakani amekuwa akihubiri uchumi wa viwanda na yeye ni mwumini sana wa viwanda kuwa chachu ya maendeleo.

Hata hivo huwo ndo ukweli halisi. Bila kupepesa macho; hakuna inchi yeyote iloendelea bila kuwa na viwanda; huu ni ukweli mtupu! Ila kama taifa twapaswa kujiandaa vya kutosha na kuweka mazingura bora ya uchumi huo wa viwanda.

Pia hatupaswi kudharau kilimo kuwa ndo utii wa uhai wa Viwanda! Bila kuwa na uzalishaji wa hali ya juu kwenye kilimo hivo viwanda ni ndoto kuwa productive la sivyo vitabaki kuwa majokofu ya kufugia Popo.

Katika kufafanua hili nimeona kidogo nikuoneshe jinsi inchi za ulaya zilizoendelea kiviwabda hasa Uingeleza ilivyofanya.

Uingeleza ndo Nchi ya kwanza kuwa na uchumi wa Viwanda. Yaani kuwa na mapinduzi ya Viwanda ( industrial revolution) kati ya miaka 1780 hadi 1850. Inchi nyingine zote za bara hilo na mabara nengine zote zilikuwa hazijawa na uchumi huo. Kwa kipindi hiko ndo tuliona Uingeleza ikiwa juu kiuchumi. Na kuzalisha bidhaa nyingi na ajira za kutosha. Waingeleza walinufaika sana na mapinduzi haya. (kasome British industrial revolution from 17th C) .

Kuanzia karne ya 19 ndo nchi nyingine zikaanza nazo kuiga mfumo wa uchumi wa viwanda wa Uwingeleza.

Waingeleza katika kuimalisha na kuendesha uchumi wao wa Viwanda waliona kuwa kilimo ni sehemu kuu ya mali Gafi ( Raw materials). Hivo basi walijikita katika uzalishaji wa kilimo.

Uzalishaji mkuu wa kilimo kusudi ya kupata mali gafi za kuhudumia viwanda hivyo ilileta Mapinduzi ya kilimo ( Agrarian Revolution/ Agricultural revolution) katikati ya karne ya 17.

Mapinduzi ya kilimo yaani Agrarian Revolution yalipelekea kuwepo na maligafi ya kutosha kwenye viwanda. Si mali gafi tu hata chakula majumbani kilikuwa cha kutosho na kukawa na high export of agricultural product. Historia inatuambia kuwa watu waliongezeka; Wafaya kazi pia waliongezeka mala dufu kwani hakukuwa na njaa. Inchi ya wingeleza ilijawa na nena. Miji mikuu kama Manchester; Liverpool; Yorkshire na Birmingham ilikuwa kwa kasi kubwa.
(Ukipata muda pitia kwa kugoogle maada hii" effect of industrial and Agrarian revilution in england" )

" No Agricultural/ Agrarian revolution; the industrial revolution is stagnant" ( Bila mapinduzi ya kilimo Vuwanda ni Bure) Haya ni maneno ya Arnold Toynbee aliekuwa mchambuzi na mshauri wa maswala ya uchumi Ikulu ya Taifa la wingeleza.

Serikali ya Wingereza ilimsikiliza na kulifanya kazi kwanza swala la kilimo ndani ya nchi na nje ya nchi yao hasa hasa katika bara la Afrika kama mfano wa Kenya na Zimbabwe kupitia Colonial economy by settlers. Walifanya hivi ili kujihakikishia chanzo cha mali Gafi za viwanda.

Nami nakumbuka moja ya maswali niliyokuwa nikisolve nikiwa shuleni Advance lilikuwa hili " Discuss how
Agricultural Revolution has therefore been cited as a cause of the Industrial Revolution in England.

Kwa watu walosoma Uchumi kupitia HGE; Basi kwenye History kama hawakuwa Vilaza au watoro naimani Topic hizi za Indusrial na Agrarian revolution in England walizisoma. Na hata kwa sasa wanafunzi wa sasa wanaosoma michepuo yenye historia bado maada hizi wanazisoma.

Tukiachana na mfano wa Wingereza; tuone mfano rahisi tu wa Nchi ya Kenya.
Kenya ni nchi mojawapo ya Afrika mashariki. Pia ni nchi jirani yetu. Kenya ndo inayoongoza kwa uchumi mkubwa kwenye hizo nchi za Africa Mashariki. Uchumi wa Kenya Umeimalishwa na Viwanda pamoja na Kilimo.

Wakenya waliokuwa wanaanzisha viwanda hawakupuuzia swala la kilimo. Pale kenya kuna Viwanda vya kutosha pamoja na mashamba ya kutosha yenye mazao kibao. Mali gafi za viwanda vya kenya zinapatikana kwenye mashamba hayo. Kwa sasa Kenya iko powerful industrialized kuliko nchi yeyote ya Africa mashariki.

Watanzania tunajifunza kitu kimoja hapa kuwa Uchumi wa Viwanda na Uchumi wa Kilimo ni vitu viwili ambavyo havitenganishwi. Yaani :" Industrial revolution and Agrarian Revolution are
two sides of the same coin."

Watanzania walowengi wanajiuliza;

- Mbona hakuna jitihada zozote za kuimarisha secta ya kilimo ingawaje kuna jitihada ambazo Mh. Rais anazifanya kugeuza Tanzania kuwa nchi ya Viwanda?

-Hivo viwanda vitaoperate vipi bila ya kuwepo na uzalishaji wa kutosha?

- Serikali inatazamia kujenga Tanzania ya Viwanda vya aina gani ambavyo havihitaji shughuli za kilimo?

Nawasilisha.
 
umenena vyema,i hope wahusika watalifanyia kazi ,tatizo wahusika wanapita wanasoma hizi thread halafu wafanyii kazi...............................
 
kwa hyo unataka nani akalime? nilishapigwa dole la kijambio kwenye kilimo cha mananasi....sikukoma...nikahamia kwenye matikiti...na huko ndio neno stress nililijua kwa vitendo...mpaka barabara ya vumbi nikawa navushwa na watoto wa chekechea..
 
Ccm imelaaniwa
"Kilimo kwanza" unajua iliishia wapi?
The same applied to paper work ya viwanda
Unazungumziaje viwanda bila biashara?enabling policies au ndo ile mtu anaamka anakukandamiza kodi kisa hauelewani nae, tax system, Market ya viwanda hvyo ni wapi?size?regional cooperation &integration impacts tumejiandaaje,globalization world na viwanda tumejiandaaje?alieandika hiyo policy alijifungia chooni i guess they are not informed about global competitive business environment
 
Kenya hawalimi lakin wana viwanda na uchumi wa uko juu acha uongo Magufuli yuko sahihi
Huu ni mwaka wa tatu tuenda, je mpaka sasa kuna viwanda vingapi??

(achana na vile vya kisiasa na vile vya vyerehani ambavyo viko 3000+)

Alafu nani amekwambia Kenya hawalimi??
 
Kwa hakika hakuna Mtanzania hata mmoja ambae hamuungi mkono Mh. Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli kwenye hii azma yake ya kutaka nchi iwe na uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda.

Raisi wetu mpendwa toka aingie madarakani amekuwa akihubiri uchumi wa viwanda na yeye ni mwumini sana wa viwanda kuwa chachu ya maendeleo.

Hata hivo huwo ndo ukweli halisi. Bila kupepesa macho; hakuna inchi yeyote iloendelea bila kuwa na viwanda; huu ni ukweli mtupu! Ila kama taifa twapaswa kujiandaa vya kutosha na kuweka mazingura bora ya uchumi huo wa viwanda.

Pia hatupaswi kudharau kilimo kuwa ndo utii wa uhai wa Viwanda! Bila kuwa na uzalishaji wa hali ya juu kwenye kilimo hivo viwanda ni ndoto kuwa productive la sivyo vitabaki kuwa majokofu ya kufugia Popo.

Katika kufafanua hili nimeona kidogo nikuoneshe jinsi inchi za ulaya zilizoendelea kiviwabda hasa Uingeleza ilivyofanya.

Uingeleza ndo Nchi ya kwanza kuwa na uchumi wa Viwanda. Yaani kuwa na mapinduzi ya Viwanda ( industrial revolution) kati ya miaka 1780 hadi 1850. Inchi nyingine zote za bara hilo na mabara nengine zote zilikuwa hazijawa na uchumi huo. Kwa kipindi hiko ndo tuliona Uingeleza ikiwa juu kiuchumi. Na kuzalisha bidhaa nyingi na ajira za kutosha. Waingeleza walinufaika sana na mapinduzi haya. (kasome British industrial revolution from 17th C) .

Kuanzia karne ya 19 ndo nchi nyingine zikaanza nazo kuiga mfumo wa uchumi wa viwanda wa Uwingeleza.

Waingeleza katika kuimalisha na kuendesha uchumi wao wa Viwanda waliona kuwa kilimo ni sehemu kuu ya mali Gafi ( Raw materials). Hivo basi walijikita katika uzalishaji wa kilimo.

Uzalishaji mkuu wa kilimo kusudi ya kupata mali gafi za kuhudumia viwanda hivyo ilileta Mapinduzi ya kilimo ( Agrarian Revolution/ Agricultural revolution) katikati ya karne ya 17.

Mapinduzi ya kilimo yaani Agrarian Revolution yalipelekea kuwepo na maligafi ya kutosha kwenye viwanda. Si mali gafi tu hata chakula majumbani kilikuwa cha kutosho na kukawa na high export of agricultural product. Historia inatuambia kuwa watu waliongezeka; Wafaya kazi pia waliongezeka mala dufu kwani hakukuwa na njaa. Inchi ya wingeleza ilijawa na nena. Miji mikuu kama Manchester; Liverpool; Yorkshire na Birmingham ilikuwa kwa kasi kubwa.
(Ukipata muda pitia kwa kugoogle maada hii" effect of industrial and Agrarian revilution in england" )

" No Agricultural/ Agrarian revolution; the industrial revolution is stagnant" ( Bila mapinduzi ya kilimo Vuwanda ni Bure) Haya ni maneno ya Arnold Toynbee aliekuwa mchambuzi na mshauri wa maswala ya uchumi Ikulu ya Taifa la wingeleza.

Serikali ya Wingereza ilimsikiliza na kulifanya kazi kwanza swala la kilimo ili kujihakikishia chanzo cha mali Gafi za viwanda.

Nami nakumbuka moja ya maswali niliyokuwa nikisolve nikiwa shuleni Advance lilikuwa hili " Discuss how
Agricultural Revolution has therefore been cited as a cause of the Industrial Revolution in England.

Kwa watu walosoma Uchumi kupitia HGE; Basi kwenye History kama hawakuwa Vilaza au watoro naimani Topic hizi za Indusrial na Agrarian revolution in England walizisoma. Na hata kwa sasa wanafunzi wa sasa wanaosoma michepuo yenye historia bado maada hizi wanazisoma.

Tukiachana na mfano wa Wingereza; tuone mfano rahisi tu wa Nchi ya Kenya.
Kenya ni nchi mojawapo ya Afrika mashariki. Pia ni nchi jirani yetu. Kenya ndo inayoongoza kwa uchumi mkubwa kwenye hizo nchi za Africa Mashariki. Uchumi wa Kenya Umeimalishwa na Viwanda pamoja na Kilimo.

Wakenya waliokuwa wanaanzisha viwanda hawakupuuzia swala la kilimo. Pale kenya kuna Viwanda vya kutosha pamoja na mashamba ya kutosha yenye mazao kibao. Mali gafi za viwanda vya kenya zinapatikana kwenye mashamba hayo. Kwa sasa Kenya iko powerful industrialized kuliko nchi yeyote ya Africa mashariki.

Watanzania tunajifunza kitu kimoja hapa kuwa Uchumi wa Viwanda na Uchumi wa Kilimo ni vitu viwili ambavyo havitenganishwi. Yaani :" Industrial revolution and Agrarian Revolution are
two sides of the same coin."

Watanzania walowengi wanajiuliza;

- Mbona hakuna jitihada zozote za kuimarisha secta ya kilimo ingawaje kuna jitihada ambazo Mh. Rais anazifanya kugeuza Tanzania kuwa nchi ya Viwanda?

-Hivo viwanda vitaoperate vipi bila ya kuwepo na uzalishaji wa kutosha?

- Serikali inatazamia kujenga Tanzania ya Viwanda vya aina gani ambavyo havihitaji shughuli za kilimo?

Nawasilisha.
Viwanda siyo vya mdomoni kuna Vitu vingi Kwanza Ni wa taalamu wa kuunda na kutengeza vipuli
Kwa hakika hakuna Mtanzania hata mmoja ambae hamuungi mkono Mh. Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli kwenye hii azma yake ya kutaka nchi iwe na uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda.

Raisi wetu mpendwa toka aingie madarakani amekuwa akihubiri uchumi wa viwanda na yeye ni mwumini sana wa viwanda kuwa chachu ya maendeleo.

Hata hivo huwo ndo ukweli halisi. Bila kupepesa macho; hakuna inchi yeyote iloendelea bila kuwa na viwanda; huu ni ukweli mtupu! Ila kama taifa twapaswa kujiandaa vya kutosha na kuweka mazingura bora ya uchumi huo wa viwanda.

Pia hatupaswi kudharau kilimo kuwa ndo utii wa uhai wa Viwanda! Bila kuwa na uzalishaji wa hali ya juu kwenye kilimo hivo viwanda ni ndoto kuwa productive la sivyo vitabaki kuwa majokofu ya kufugia Popo.

Katika kufafanua hili nimeona kidogo nikuoneshe jinsi inchi za ulaya zilizoendelea kiviwabda hasa Uingeleza ilivyofanya.

Uingeleza ndo Nchi ya kwanza kuwa na uchumi wa Viwanda. Yaani kuwa na mapinduzi ya Viwanda ( industrial revolution) kati ya miaka 1780 hadi 1850. Inchi nyingine zote za bara hilo na mabara nengine zote zilikuwa hazijawa na uchumi huo. Kwa kipindi hiko ndo tuliona Uingeleza ikiwa juu kiuchumi. Na kuzalisha bidhaa nyingi na ajira za kutosha. Waingeleza walinufaika sana na mapinduzi haya. (kasome British industrial revolution from 17th C) .

Kuanzia karne ya 19 ndo nchi nyingine zikaanza nazo kuiga mfumo wa uchumi wa viwanda wa Uwingeleza.

Waingeleza katika kuimalisha na kuendesha uchumi wao wa Viwanda waliona kuwa kilimo ni sehemu kuu ya mali Gafi ( Raw materials). Hivo basi walijikita katika uzalishaji wa kilimo.

Uzalishaji mkuu wa kilimo kusudi ya kupata mali gafi za kuhudumia viwanda hivyo ilileta Mapinduzi ya kilimo ( Agrarian Revolution/ Agricultural revolution) katikati ya karne ya 17.

Mapinduzi ya kilimo yaani Agrarian Revolution yalipelekea kuwepo na maligafi ya kutosha kwenye viwanda. Si mali gafi tu hata chakula majumbani kilikuwa cha kutosho na kukawa na high export of agricultural product. Historia inatuambia kuwa watu waliongezeka; Wafaya kazi pia waliongezeka mala dufu kwani hakukuwa na njaa. Inchi ya wingeleza ilijawa na nena. Miji mikuu kama Manchester; Liverpool; Yorkshire na Birmingham ilikuwa kwa kasi kubwa.
(Ukipata muda pitia kwa kugoogle maada hii" effect of industrial and Agrarian revilution in england" )

" No Agricultural/ Agrarian revolution; the industrial revolution is stagnant" ( Bila mapinduzi ya kilimo Vuwanda ni Bure) Haya ni maneno ya Arnold Toynbee aliekuwa mchambuzi na mshauri wa maswala ya uchumi Ikulu ya Taifa la wingeleza.

Serikali ya Wingereza ilimsikiliza na kulifanya kazi kwanza swala la kilimo ili kujihakikishia chanzo cha mali Gafi za viwanda.

Nami nakumbuka moja ya maswali niliyokuwa nikisolve nikiwa shuleni Advance lilikuwa hili " Discuss how
Agricultural Revolution has therefore been cited as a cause of the Industrial Revolution in England.

Kwa watu walosoma Uchumi kupitia HGE; Basi kwenye History kama hawakuwa Vilaza au watoro naimani Topic hizi za Indusrial na Agrarian revolution in England walizisoma. Na hata kwa sasa wanafunzi wa sasa wanaosoma michepuo yenye historia bado maada hizi wanazisoma.

Tukiachana na mfano wa Wingereza; tuone mfano rahisi tu wa Nchi ya Kenya.
Kenya ni nchi mojawapo ya Afrika mashariki. Pia ni nchi jirani yetu. Kenya ndo inayoongoza kwa uchumi mkubwa kwenye hizo nchi za Africa Mashariki. Uchumi wa Kenya Umeimalishwa na Viwanda pamoja na Kilimo.

Wakenya waliokuwa wanaanzisha viwanda hawakupuuzia swala la kilimo. Pale kenya kuna Viwanda vya kutosha pamoja na mashamba ya kutosha yenye mazao kibao. Mali gafi za viwanda vya kenya zinapatikana kwenye mashamba hayo. Kwa sasa Kenya iko powerful industrialized kuliko nchi yeyote ya Africa mashariki.

Watanzania tunajifunza kitu kimoja hapa kuwa Uchumi wa Viwanda na Uchumi wa Kilimo ni vitu viwili ambavyo havitenganishwi. Yaani :" Industrial revolution and Agrarian Revolution are
two sides of the same coin."

Watanzania walowengi wanajiuliza;

- Mbona hakuna jitihada zozote za kuimarisha secta ya kilimo ingawaje kuna jitihada ambazo Mh. Rais anazifanya kugeuza Tanzania kuwa nchi ya Viwanda?

-Hivo viwanda vitaoperate vipi bila ya kuwepo na uzalishaji wa kutosha?

- Serikali inatazamia kujenga Tanzania ya Viwanda vya aina gani ambavyo havihitaji shughuli za kilimo?

Nawasilisha.
 
Wahenga walisema JEMBE HALIMTUPI MTU.

Mawazo mazuri mkuu,tunataman sana ingekuwa hivo, Ardhi ipo ya kutosha sana,hali ya hewa,Maji yakutosha,tatzo ni vipaumbele.

Tungeacha kila kitu tuanze na kilimo,tukahakikisha tunazalisha vya kutosha,mazao ya chakula na biadhara,ndipo tuje kwenye viwanda hakika tungesimama tena tungefika mbali.

Tunahangaika na Viwanda wakati hata umeme wa kusua sua.

Maendeleo siku zote yanaanzia nyumbani kwako,endeleza kile ulichonacho,tumia kile ulichonacho,ukifanikiwa inakuwa rahisi kuanza kujenga vile usivyokuwa navyo.

Tutumie Ardhi yetu kubwa na ya kutosha kabsa tuliyonayo,Maji yapo na hali ya hewa inatuunga mkono kabisa.Hatuna sababu ya kushindwa kufanya kilimo kikubwa na kwa scale kubwa kabisa.
 
Uwekezaji wa viwanda na kilimo kwa pamoja vinaweza visifanikiwe kwa taifa ili. Tujiulize je Sera ya KILIMO KWANZA ilichochea vip ukuaji wa viwanda? Kilimo kwanza was fail completely. Taifa linaweza kuanzisha viwanda vya kutosha si lazima maligafi zote zitoke ndani. Kuna malighafi nyingi zikizalishwa nje it's cheap compare na zinazozalishwa ndani. It's matter of competitive & absolute advantage. Ni muhimu kwa Serikali kujipanga Zaidi ktk fiscal policy ndio kichocheo kikubwa cha viwanda.
 
Kenya hawalimi lakin wana viwanda na uchumi wa uko juu acha uongo Magufuli yuko sahihi

Halafu uache ujinga kwa jambo serious. Huu ujinga uliojibu hapa nakufananisha na wale watoto wa kike wanabalehe huwa wanajipaka mafuta mengi bila kuoga ili waonekane wanang'aa. Huko Kenya kuna kilimo cha hali ya juu. Subiri zile mada za kipuuzi urukie sio hizi zenye mambo ya msingi. Mpuuzi mkubwa wewe.
 
Hatuwezi kuwa na uchumi wa viwanda wakati sekta ya kilimo imerudi kwenye jembe la mkono, ni ndoto.
Kenya hawakutaifisha mashamba makubwa, viwanda vyao havikufa.
Zimbabwe na Tanzania walitaifisha mashamba makubwa, viwanda vyao vikafa.
 
Kenya hawalimi lakin wana viwanda na uchumi wa uko juu acha uongo Magufuli yuko sahihi
duh wtz bhana kila mtu nimjuaji kama hujui Kenya kwanini una comment uongo.....eti Kenya haina kilimo!!!!!!! neenda ukatembelee kdgo kwanza
 
Kenya hawalimi lakin wana viwanda na uchumi wa uko juu acha uongo Magufuli yuko sahihi
duh wtz bhana kila mtu nimjuaji kama hujui Kenya kwanini una comment uongo.....eti Kenya haina kilimo!!!!!!! neenda ukatembelee kdgo kwanza
 
Wahenga walisema JEMBE HALIMTUPI MTU.

Mawazo mazuri mkuu,tunataman sana ingekuwa hivo, Ardhi ipo ya kutosha sana,hali ya hewa,Maji yakutosha,tatzo ni vipaumbele.

Tungeacha kila kitu tuanze na kilimo,tukahakikisha tunazalisha vya kutosha,mazao ya chakula na biadhara,ndipo tuje kwenye viwanda hakika tungesimama tena tungefika mbali.

Tunahangaika na Viwanda wakati hata umeme wa kusua sua.

Mkuu uko sahihi kwa asilimia nyingi sana. Hili jambo la kuanza na kilimo cha kisasa tuwe na uhakika wa malighafi, kisha tuingie kwenye viwanda ni wazo sahihi. Sasa unashangaa rais anahubiri mapinduzi ya viwanda anaweka bajeti ya kilimo chini ya 500b!! Huwa nasema hivyo viwanda anavyotaka mkuu wa nchi yetu ni njozi za mchana. Na hata kama atafanikiwa kujenga viwanda ni vile vitakavyochukua malighafi nje kwa zaidi ya 70%. Sasa kwa mfanya biashara mzuri kuliko aje ajenge kiwanda hapa nchini kisha aagize malighafi nje, ni bora azalishe hukohuko kwenye malighafi kisha alete bidhaa hapa nchini. Kilimo ni jambo sahihi kwani kwanza zaidi ya watanzania 70% wanamiliki ardhi, hivyo wanahitaji mtaji na pembejeo kwa gharama nafuu. kwa kuwezesha kilimo kwanza atatoa ajira kwa zaidi ya nusu ya watanzania.
 
mleta mada uko absolutely right......1750 wiingereza "iliitwa the workshop of the world" kwasababu ya mapinduzi ya viwanda, vilipatikana kwa sababu ya mapindizi" 7" agrarian rev, scientific rev, commercial rev, demographic rev, political rev, ....nk ndo maana wanasema kwamba the industrial revolution in Britain was arevolution within revolutions....sasa hapa tzn tumepata mapinduzi gani yoyote ili tupate mapinduzi ya viwanda....mambo ya uchumi ni scientifical sio politicking tu.
 
Kenya hawalimi lakin wana viwanda na uchumi wa uko juu acha uongo Magufuli yuko sahihi
Nahisi hukusoma shule! Au ulikuwa kiaza au mtoro darasana. Syllabus ya somo ya Hostoria kidato cha 3 na cha 4 kuna maada ( topics) zinazo husu colonialism na colonial economy. Kenya ni nchi ya Africa mashariki ilokiwa na ma Settlers wengi. Kulikuwa na settlers economy. Ma settlers hao walikuwa na ma large plantation . Hata baada ya uhuru pale Kenya hayo ma Plantation bado yapo;bado yanalimwa vya kutosha. Kwa taarifa yako kenya inaongoza kuexport Coffee na Tea barani Afika.
Hebu cheki hapa kama unajua labda kiingeleza nimeicopy hivi hivi from net"
Agriculture in Kenya dominates Kenya's economy. 15–17 percent of Kenya's total land area has sufficient fertility and rainfall to be farmed, and 7–8 percent can be classified as first-class land.[1][2] In 2006, almost 75 percent of working Kenyans made their living by farming, compared with 80 percent in 1980.[1] About one-half of Kenya's total agricultural output is non-marketed subsistence production.[1]

Agriculture is also the largest contributor toKenya’s gross domestic product (GDP).[1] In 2005, agriculture, including forestry and fishing, accounted for about 24 percent of the GDP, as well as 18 percent of wage employment and 50 percent of revenue from exports.[1]

Farming is the most important economic sector in Kenya, although less than 8 percent of the land is used for crop and feed production, and less than 20 percent is suitable for cultivation. Kenya is a leading producer of tea and coffee, as well as the third-leading exporter of fresh produce, such as cabbages, onions and mangoes. Small farms grow most of the corn and also produce potatoes, bananas, beans and pea
 
mleta mada uko absolutely right......1750 wiingereza "iliitwa the workshop of the world" kwasababu ya mapinduzi ya viwanda, vilipatikana kwa sababu ya mapindizi" 7" agrarian rev, scientific rev, commercial rev, demographic rev, political rev, ....nk ndo maana wanasema kwamba the industrial revolution in Britain was arevolution within revolutions....sasa hapa tzn tumepata mapinduzi gani yoyote ili tupate mapinduzi ya viwanda....mambo ya uchumi ni scientifical sio politicking tu.
 
Back
Top Bottom