SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,841
- 1,843
Kila kukicha ni uchumi wa viwanda, uchumi wa viwanda ,uchumi wa viwanda hivi hivyo viwanda tuta IMPORT malighafi (raw materials)
MBONA HII SERIKALI SIJASIKIA MKAKATI WA UZALISHAJI MALIGHAFI?? Hivi kinachoanza ni viwanda au kuzalisha malighafi??
HEBU serikali itwambie mkakati wa viwanda tumeshausikia, JE MKAKATI WA KUHAKIKISHA MALIGHAFI ZIPO NA ZINATOKA NCHINI MWETU NI UPI, ???
Na je unatekelezwa je??
Na ni kwa miaka mingapi??
MBONA HII SERIKALI SIJASIKIA MKAKATI WA UZALISHAJI MALIGHAFI?? Hivi kinachoanza ni viwanda au kuzalisha malighafi??
HEBU serikali itwambie mkakati wa viwanda tumeshausikia, JE MKAKATI WA KUHAKIKISHA MALIGHAFI ZIPO NA ZINATOKA NCHINI MWETU NI UPI, ???
Na je unatekelezwa je??
Na ni kwa miaka mingapi??