Du uchumi unashuka kwa kuangalia economic indicators. Tuambie umetumia macro economic indicator zipi kiongozi.Uchumi wa nchi umeanguka Serikali ya Ccm acheni kudanganya wananchi wa Tanzania.
Kwani Pesa munatoa nyinyi? Mimi nilifikiri za walipakodi vilechadema andikianeni to night, mgawane ruzuku ya kila mwezi milioni 300, mwaka umeisha, kesi, kesi, Hebu lissu alete mlejesho amefungua kesi ngapi, amemaliza kesi ngapi, ameshinda ngapi na bado ngapi, ili tuone mugawo ujao tumpe sh.ngapi