dreams and visions
Member
- Jul 8, 2017
- 95
- 29
- Thread starter
-
- #121
Simu nilikuwa nmeshika mimi ....nilikuwa na-set alarm tulale,kwa sababu kesho yake nilikuwa na safari ya mbaliSms zilipoingia simu ilikuwa wapi? Umeshika wewe au mchumba au ipo pekee yake? Kama pekee yake nani alianza kuishika mliposikia msg zimeingia? Kama ni wewe uliposhangaa hiyo msg ndiyo mchumba kaanza kuondoka? Na kama ni mchumba ni kawaida yake kupokea simu/sms zako Mara tu zikiingia? Kwa hayo maswali ukipata majibu unaweza kuelewa mchezo ulipoanzia?
Hiyo nahisi ataharibu huyu mtoa mada,amfuate akaongee nae,dada kaondoka huenda ni hasira na usikute wote wanachezewa. Mtoa mada akikaa kimya na mdada atakata tamaa. Mtoa mada hana kosa ila hiyo msg imeshamtia doa hana budi kubembelezaYou have a point. Kila mtu ana react kivyake. Ushauri wangu ni kuwa asijarib kumlazimisha bibie amwelewe bali aendelee kimya kimya kumtafuta mbaya wake. Atakapomjua basi amalizie kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipostuka yeye alipoiona kaamua kuondoka?? Labda hasira jaribu kuongea nae.Simu nilikuwa nmeshika mimi ....nilikuwa na-set alarm tulale,kwa sababu kesho yake nilikuwa na safari ya mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona inaonesha kama number yake tayari umeshaisavu na jina linaloanzia na M.Wadau, Mimi ni mwanaume....kuna tatizo limenikumba na kuharibu uchumba wangu. Nilikuwa na mchumba wangu nyumbani kwangu,mida ya saa 5 usiku. Kabla hatujalala tukiwa wote,wakati huo nilikuwa niki-set alarm huku mchumba wangu akiiangalia simu yangu,ghafla iliingia sms ya mahaba mazito kutoka kwa mtu nisiyemfahamu.....kulingana na sms hiyo alidai kuwa amemisi penzi langu sana na angetamani tuonane,hivyo nimfuate au kama nipo bize aje yeye..Kiukweli nilichanganyikiwa na mwanamke wangu alishindwa kunielewa. Nkampigia simu hakupokea, akadai yupo kwenye makelele akitoka atanipigia. Nkamuuliza wewe ni nani ....akadai yeye ni Vero mpenzi wangu. Wakati mimi sijawahi kuwa na mpenzi wala mtu wa karibu au ambae nina mazoea nae tu,anaeitwa Vero. Nilipoendelea kupiga simu yake hakupokea akadai atanipigia soon..... Mwanamke wangu alishindwa kunielewa na akaondoka usiku ule. Alipoondoka nilimtafuta huyo muhuni lakin hakupokea simu,akidai yupo kwenye sherehe ....akitoka atanitafuta,lakini mpaka napaandika uzi huu sijapokea simu yake na mara nyingi hapatikani.
Wadau naomba mnisaidie nitamfahamu vipi huyu mtu ambae lengo lake ni kuniharibia mambo yangu.
Naambatisha na "conversation" tulofanya na huyo muhuni.View attachment 1002396
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli, hajafanya vizuri. Angemwambia tu ukweli kuwa hawezi kuendelea naye tena ili waachane
Hahahahaa kwani kulikuwa na ulazuma wa picha.Kwa mimi mwenye uzowefu kwenye hii sekta ya mahusiano, naomba nihitimishe kwa kusema kwamba.....Huyo mwanamke alikua hakupendi, na alikua ana target umkosee ili apate strong reason ya kukuacha.
Kimsingi ipo hivi...... Mwanamke kama anakupenda, hata ikitokea amekufumania ukiwa kifuani mwa mwanamke mwingine huyo hawezi akakuacha ama lahh, atakupa nafasi ya kukusikiliza basi hata umdanganye na kisha maisha yaendelee.
Naomba kuwasilisha
View attachment 1002401
Ndio mkuu, kwani imejaza saver..!!??
Ni kweli tupu uyo demu alitaka tu kumuacha jamaa ndio akapanga hilo dili ,tena alimu esms rafiki yake ,akamwambia nanukuu " NDIO NIMESHIKA SIMU YAKE NOW TUMA HIYO SMS SASA HV" mwisho wa kunukuu, sasa bro jua uyo mpenz wako ndio yupo behind the carpet and stageHapo inawezekana ni dili amecheza huyo mchumba wako alitaka akuache akakosa njia sahihi basi akampanga rafiki yake ili atume hiyo meseji ukiwa na mchumba wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo inawezekana ni dili amecheza huyo mchumba wako alitaka akuache akakosa njia sahihi basi akampanga rafiki yake ili atume hiyo meseji ukiwa na mchumba wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahaaaa picha ya kihindi hiyo bro. Pole sana kaka.Wadau, Mimi ni mwanaume....kuna tatizo limenikumba na kuharibu uchumba wangu. Nilikuwa na mchumba wangu nyumbani kwangu,mida ya saa 5 usiku. Kabla hatujalala tukiwa wote,wakati huo nilikuwa niki-set alarm huku mchumba wangu akiiangalia simu yangu,ghafla iliingia sms ya mahaba mazito kutoka kwa mtu nisiyemfahamu.....kulingana na sms hiyo alidai kuwa amemisi penzi langu sana na angetamani tuonane,hivyo nimfuate au kama nipo bize aje yeye..Kiukweli nilichanganyikiwa na mwanamke wangu alishindwa kunielewa. Nkampigia simu hakupokea, akadai yupo kwenye makelele akitoka atanipigia. Nkamuuliza wewe ni nani ....akadai yeye ni Vero mpenzi wangu. Wakati mimi sijawahi kuwa na mpenzi wala mtu wa karibu au ambae nina mazoea nae tu,anaeitwa Vero. Nilipoendelea kupiga simu yake hakupokea akadai atanipigia soon..... Mwanamke wangu alishindwa kunielewa na akaondoka usiku ule. Alipoondoka nilimtafuta huyo muhuni lakin hakupokea simu,akidai yupo kwenye sherehe ....akitoka atanitafuta,lakini mpaka napaandika uzi huu sijapokea simu yake na mara nyingi hapatikani.
Wadau naomba mnisaidie nitamfahamu vipi huyu mtu ambae lengo lake ni kuniharibia mambo yangu.
Naambatisha na "conversation" tulofanya na huyo muhuni.View attachment 1002396
Sent using Jamii Forums mobile app