ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,416
- 118,917
.....labda tigo maana misamiati ya MUJINI inabadilika kila leo.
,....au kufanya mapenzi bila kutumia kinga...
.....labda tigo maana misamiati ya MUJINI inabadilika kila leo.
masai dada umenena vyema, huyu anatakiwa kutafuta uthibitisho usio tia shaka ambao utamuweka hatiani huyo binti na yeye asionekane mbaya bali ana sema ukweli mtupu.loooh SIKILIZA NIKAMBIE TENGENEZA UZIBITISHO
THEN UNAMPELEKEA SUCH THAT WAPIGE PICHA WAKIWA WAMEKUMBATIANA AU ONGEA NA HUYONMSHIKAI WA KAZINI KAMA UNAMTANIA KUHUSU HUYO DEM THEN UNAMREKODI BIILA YYE KUJUA WILL HELP YOU
Mkuu Lee2 kabla ujakwenda kumwambia rafiki yako akisha una ushahidii hata wapicha.
Kwa ulivyo andika huyo ni kama ndugu yako kabisa hivyo kunyamaza ni sawa na kumuangamiza na si unajua magonjwa mengi.
Angalia sana usifanye kosa hilo.
masai dada umenena vyema, huyu anatakiwa kutafuta uthibitisho usio tia shaka ambao utamuweka hatiani huyo binti na yeye asionekane mbaya bali ana sema ukweli mtupu.
Kwenye hili swala maneno matupu haya takiwi kabisa bali ushahidi.
Sasa hivi anacho takiwa kufanya mtoa mada ni kuanza kutafuta ushahidi wa picha au video hili atakapo mwambia kusewe na doubt.
Kwakweli huyu akinyamaza ni sawa na kumuua rafiki yake kabisa.
Aiseeee! Weweni Lee2?
Ha ha ha matipoz..Aiseeee! Weweni Lee2?
Chuo gani huko Tabora? Utumishi wa umma aka Uhazili au kingine?
Maana watoto wako pale ni shidaaa,wanakimbiza Tabora na pana watoto wa mama Salma wengi kweli,so kaumia rafiki yako. na una jukumu la kumwokoa
Mkuu Lee2 kabla ujakwenda kumwambia rafiki yako akisha una ushahidii hata wapicha.
Kwa ulivyo andika huyo ni kama ndugu yako kabisa hivyo kunyamaza ni sawa na kumuangamiza na si unajua magonjwa mengi.
Angalia sana usifanye kosa hilo.
Kavu kavu! Ni hatari sana! Bora anae onja onja lazima abebe kinga! Ila alie ridhika akaweka mfugo mmoja anakanyagia ringi.sorry kukanyagia ringi meaning?