Mchumba wa rafiki yangu anatembea na jamaa tunayefanya naye kaz ofisi moja.
Ni binti niliyetambulishwa na rafiki yangu miaka 2 iliyopita tukiwa chuoni.
Yeye akiwa masomoni chuo kikuu kimojawapo mjini Dodoma na binti akiwa chuo kikuu kilichopo Tabora.
Mwaka huu bint kaajiria tena ofisi niliyopo na ni mimi niliyempokea baada ya kuambiwa nimpokee na rafiki yangu kipenzi.
Cha kushangaza sasa binti mpaka analala kwa jamaa.
Kwa upande wa rafiki yangu kila siku ananiulizia/kunipeleza kuhusu mwenendo wa mchumba wake na jamaa anavyomsifia mchumba wake eti (katulia, hawezi nisalti,na ni yeye ndo kila kitu.....nk).
Ugumu kwangu ni:- kwanza, jamaa anavyomsifia binti ni moja kwa moja atamwambia kuwa mi ndo niliyetoa taarifa hizo, pia kuendelea
Kumdanganya ni mtihani mgumu kutokana na ukweri kuwa jamaa ni rafiki wa karibu sana na ni yeye ndo aliyenisimamia kupata matibabu nilipopatwa na ajari na shida nyingi huwa tunasaidiana kweri ni rafiki wa karibu sana.
kwangu imetokea kutopendezwa na mienendo ya huyo binti kwani ni mwezi 1 tu umepita tangu aajiriwe hapa, pia nashindwa hata kumkanya, maana nawaona mapenzi yao na jamaa yapo motomoto. Nipo njia panda najua nikimwambia jamaa, anaweza mwambia binti si unajua mapenzi.... Yaani mi nikaonekana muongo... Kwa upande mwingine huwa sipendi kundanganya Any way jambo hili ni gumu kwangu!
Kwa kweri wanawake wengine majanga tena Sugu.
Ni binti niliyetambulishwa na rafiki yangu miaka 2 iliyopita tukiwa chuoni.
Yeye akiwa masomoni chuo kikuu kimojawapo mjini Dodoma na binti akiwa chuo kikuu kilichopo Tabora.
Mwaka huu bint kaajiria tena ofisi niliyopo na ni mimi niliyempokea baada ya kuambiwa nimpokee na rafiki yangu kipenzi.
Cha kushangaza sasa binti mpaka analala kwa jamaa.
Kwa upande wa rafiki yangu kila siku ananiulizia/kunipeleza kuhusu mwenendo wa mchumba wake na jamaa anavyomsifia mchumba wake eti (katulia, hawezi nisalti,na ni yeye ndo kila kitu.....nk).
Ugumu kwangu ni:- kwanza, jamaa anavyomsifia binti ni moja kwa moja atamwambia kuwa mi ndo niliyetoa taarifa hizo, pia kuendelea
Kumdanganya ni mtihani mgumu kutokana na ukweri kuwa jamaa ni rafiki wa karibu sana na ni yeye ndo aliyenisimamia kupata matibabu nilipopatwa na ajari na shida nyingi huwa tunasaidiana kweri ni rafiki wa karibu sana.
kwangu imetokea kutopendezwa na mienendo ya huyo binti kwani ni mwezi 1 tu umepita tangu aajiriwe hapa, pia nashindwa hata kumkanya, maana nawaona mapenzi yao na jamaa yapo motomoto. Nipo njia panda najua nikimwambia jamaa, anaweza mwambia binti si unajua mapenzi.... Yaani mi nikaonekana muongo... Kwa upande mwingine huwa sipendi kundanganya Any way jambo hili ni gumu kwangu!
Kwa kweri wanawake wengine majanga tena Sugu.