Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,863
- 5,095
NIkiwa katika mihangaiko yangu kipindi flani niliamua kuwekeza katika kilimo cha mpunga hapo maeneo ya Mlandizi ila Sasa niliyokuja kuyaona niliamini hakuna Mungu kwenye kulima mana wakati wa kupanda kila Mkulima alikuja na njia zake za kufanikisha kupanda.
Jilani yangu yeye alikuja na vijana wake wakalizunguka Shamba huku wapo uchi na kichwani walikuwa wamebeba chungu kilichojaa majimaji.
Kuangalia upande mwingine wa Shamba naona mtu anaandikiza hilizi kiukweli niliamini kuliacha lile Shamba mana ni mashamba ya kukodi na niliamua kuondoka kabisa baada ya kuulizia habari za eneo lile kipindi cha kilimo inakuwaje nikapewa mkanda mzima
Mzee wangu alilima heka 3 za mpunga kule mbalali nilipokuwa darasa la pili.
Sasa baada ya kupiga mpunga vizur akapata gunia kumi na sita tu, na wakati wengine hizo ni kwa heka moja ti.
Siku anatoa tukubai, chini yake alitoka kenge mkubwa sana, na yule kenge hakuwa anakimbia wala nini. Alikuwa anatembea taaaaratibu. Wenyewe wakaropoka tu TAYAAARI .
nasikiaga wakulima wa korosho wanahamisha Maua na matunda, waeza ona mkorosho wako una mauaa mengi ukajuwa mwaka huu umwe win..... ikifika wakati wa mavunoooo unatoka KAPAAaaaa
Ukiwa na imani mbovumbovu ni rahis sana mtu kufeli.
Kashabeba mpunga gunia za kutosha kama alivyotumwaTAYAAARI wakimaanisha nn?
mkuu umehama kwenye nuru na umekuja gizani?
ahahahaa, ila mambo ya imani yanahitaji uvumilivu sanaNdio Mkuu, Nina mpango huo!
Uko sahihi 100% Mkuu...!ahahahaa, ila mambo ya imani yanahitaji uvumilivu sana
Kwann sarakasi na ulinfanyajeNi kweli kuna vitu lazima tumtegemee Mungu ila katka hili la kilimo kuna vitu vingine niliona niliona naendelea kupoteza mda nitakupa mfano mdogo tu wa yaliyonitokea kule malinyi napo kwenye mpunga .baada ya kulima heka 3 mpunga ulianza kusinyaa na hapo nilikuwa nimeweka na maji ya balaka mule shambani baada ya kwenda kanisani na kueleza matatizo yangu ndio nilipewa hayo maji lakini mpunga ulisinyaa ndipo nikaona isiwe tabu nikaenda sehemu hapa dar nikapewa dawa na kwenda kuweka shambani cha ajabu baada ya wiki mpunga ukanyooka kiasi kwamba kila mtu akawa ananiuliza mi nikawa kimya na kwenye kuvuna nilitoa gunia 75 za debe Saba Saba kitu ambacho kiliwashangaza wakulima wengi sana pale na hata wengine wakawa nikiwasemesha wananuna hasa wenyeji.Sasa vituko siku nimeanika mpunga akaja Mzee akasrma dah mpunga umetoka vyema huu halafu hapo hapo akaanza kuluka salakasi juu ya mpunga niliouanik
Jibu hili,lipewe tuzoImani yako ndio itaamua ufeli au ufahuru
bimkubwa wangu alilima heka 3 za mpunga aliambulia gunia 10 tu wakati bibi wa jirani alikuwa hana hata haka 2 alikuwa anakuja kuvuna na mafuso dah kudogo awe chizi