upo sahihi kwa sababu target ya uchawa ni kupata teuzi ,au aina fulani ya upendeleo kwenye angle ambayo yawezekana hakustahili .
tunaona sasaivi kila mtu mama ! mama! mama!mama! ili kuongeza uwezekano wa upendeleo kwenye nyazifa teuI n.k
uchawa will destroy our beautiful TANZANIA ever