Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Tangu nianze kutumia na kuchangia thread mbali mbali hapa Jf mambo mengi nimejifunza mojawapo ni wanajanvi au wachangiaji kutoka nje ya mada husika (out of truck) na wengine kujikuta tukianzisha mada tofauti kabisa ndani ya hiyo mada lakini ikiwa nje ya mada husika.
Nimetafakari sana na kupata majibu haya 1.kutoelewa vizuri kinacho zungumzwa
2.kutokuwa na uvumilivu zaidi pale unapokuta kuna mawazo tofauti na yako
3.kuchukulia mambo kirahisi rahisi
4.jazba na huruka ya kuona mwenzako hajui na hafai
5.kutokuwa makini na uelewa mzuri wa jambo
6.Kuwa na wepesi wakufanya maamuzi bila kutafakari
Naomba wanajanvi kuwasilisha pia niko tayari kukoselewa
Nimetafakari sana na kupata majibu haya 1.kutoelewa vizuri kinacho zungumzwa
2.kutokuwa na uvumilivu zaidi pale unapokuta kuna mawazo tofauti na yako
3.kuchukulia mambo kirahisi rahisi
4.jazba na huruka ya kuona mwenzako hajui na hafai
5.kutokuwa makini na uelewa mzuri wa jambo
6.Kuwa na wepesi wakufanya maamuzi bila kutafakari
Naomba wanajanvi kuwasilisha pia niko tayari kukoselewa